Wanaume, mke kama huyu unamfanyaje?

Wanaume, mke kama huyu unamfanyaje?

NIFANYE NINI MKE WANGU AMETOA MIMBA ZANGU TANO?

Mimi ni kijana wa miaka 33, nimeoa na ndoa yangu ina miaka mitatu sasa. Ndoa yangu ilikua nzuri sana na tangu kuingia kwenye ndoa mimi na mke wangu tulikua tuko vizuri tu. Lakini lilikuja suala la kupata mtoto, kila tulipokua tukihangaika kupata mtoto ilikua ni shida sana, tulishapimwa mahospitalini na kuonekana wote hatuna tatizo.

Kwakua naamini katika Mungu nilikubaliana na ukweli kuwa ni mipango yake hivyo nikaamua kukaa kimya na kusubiri majibu. Wiki iliyopita mke wangu alianza kuumwa, alikua anaumwa sana tumbo, nilitaka kumpeleka hositalini akawa hataki, akaniambia kuna dawa amekunywa atajisikia vizuri.

Lakini hali yake haikua nzuri kabisa, alikua anazidi kuumwa tu, nililazimishia kwenda hospitalini ila aliniambia kuwa yuko sawa na kweli usiku huo alipata usingizi. Wakati akiwa kalala kuna meseji iliingia kwenye simu yake, mimi na mke wangu tunaaminiana, anashika simu yangu na mimi nashika yake.

Ilikua ni meseji ya rafiki yake na alikua anamuuliza kama anaendeleaje, huwa sina kawaida ya kusoma meseji zake kwani namuamini sana, lakini ile niliiona kwa juu na kwakua nilikua najua ni watu wanapendana ni marafiki basi niliona hakuna shida kumjibu kuwa angalau kapata usingizi. Niliifungua ile meseji na katika kujibu niliona meseji za juu yake.

“Yule Daktari hayupo, amefiwa na mke wake kasafiri, usiende Hospitali kwani ukienda kwa daktari mwingine mume wako atajua kuwa umetoa mimba, vumilia shogaa, kunywa hata vidonge vya usingizi asubuhi nitakupeleka mimi.” Meseji ya nyuma ilisema hivyo, mke wangu alijibu “Sawa lakini najihisi hata kufa, natamani kumuambia mume wangu kuwa sitaki mtoto tena.” Mke wangu alimjibu “Ukimuambia hivyo anakuacha mwenzako hana mtoto angalau wewe una wawili…”

Rafiki yake alimjibu hivyo na mke wangu hakujibu tena, meseji za nyuma kabisa zilikua zimefutwa. Kusema kweli nilihisi kuchanganyikiwa, sikutaka kuamini kuwa mke wangu ambaye tumekua tukihangaika mwaka watatu kutafuta mtotoametoa mimba, ilikua haiingii akilini pia kujua kuwa mke wangu ana watoto wawili, niliumia sana lakini sikusema chochote.

Niliscreenshot zile meseji na kujitumia, kisha nikafuta meseji ya rafiki yake ambayo alikua anaulizia hali yake ilia sijue kama nimeziona na sikumjibu tena rafiki yake. Asubuhi nilimuamsha mimi, na kumuambia kuwa nataka twnede hospitalini, aligoma lakini sikukubali, nilimuambia kabisa kuwa siwezi kumuacha afe kisa tu anaogopa kwenda hospitalini. Nilimsimamia akajiandaa nakumpeleka hospitali mimi mwenyewe.

Hakutaka niingie neya kwa Daktari kama kawaida yetu lakini sikujali, nilimpeleka kwa Daktari ambaye nafahamiana naye na nilishamuambia usiku kuwa nahisi kuna kitu kama hicho. Aliingia na kufanyiwa vipimo, kweli alikua katoa mimba na alikua hajasafishwa vizuri. Nilimhudumia mpaka nikahakikisha amepona, sikuongea kitu chochote na wala sikumuuliza kama alikua anaumwa nini, aliniambia tu tumbo lilichafukwa basi nikakubaliana naye.

Nilikaa kimya na kuanza kuchunguza vizuri, haikua shida kwani ndugu zake walikua wanajua kuwa najua ana watoto. Nilimtafuta tu mdogo wake, nikamtopa out na kuanza kuulizia habari za watoto wa dada yake kwani nilikua nahitaji tuwachukue.
“Unajua Dada yako anakua mpweke sana, hajanaimbia kuhusu kuwahcukua watoto ila nahisia naogopa, nataka nimfanyie sapraizi….” Nilimuambia.

Hapo ndipo alifunguka kuwa Dada yake alikua na watoto wawili ambao alizaa na wanaume tofauti na watoto wote wapo kwa Baba zao, hivyo hadhani kama hao wanaume wanaweza kumpa watoto. Aliniambia kuwa Dada yao ndiyo aliwapeleka alipokua chuoo akawatelekeza huko , ila baada ya kupata kazi alitaka kuwachukua Baba zao wakagoma ndiyo maana hakuhangaika nao tena, aliniambia labda niongee na Mama yake anaweza kunisaidia.

Mimi nilimuambia basi asimuambie Mama yake nitajua kitu cha kufanya lakini kusema kweli mpaka sasa hivi nimechanganyikiwa. Bado sijamuambia mke wangu kama najua kwua ana watoto, kibaya zaidi nimechunguza naklugundua kuwa ile mimba haikua ya kwanza, mke wangu alishatoa mimba zangu tano kwakua tu hataki mtoto kwa wkaati huo, nashindwa kuelewa nifanye nini, nachanganyikiwa sijui nimuulize mke wangu au nifanye nini, naomba ushauri wako ndugu.

copy and paste
Bado yuko hapo nyumbani kwako? Hujarudisha kwa mama yake?

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
NIFANYE NINI MKE WANGU AMETOA MIMBA ZANGU TANO?

Mimi ni kijana wa miaka 33, nimeoa na ndoa yangu ina miaka mitatu sasa. Ndoa yangu ilikua nzuri sana na tangu kuingia kwenye ndoa mimi na mke wangu tulikua tuko vizuri tu. Lakini lilikuja suala la kupata mtoto, kila tulipokua tukihangaika kupata mtoto ilikua ni shida sana, tulishapimwa mahospitalini na kuonekana wote hatuna tatizo.

Kwakua naamini katika Mungu nilikubaliana na ukweli kuwa ni mipango yake hivyo nikaamua kukaa kimya na kusubiri majibu. Wiki iliyopita mke wangu alianza kuumwa, alikua anaumwa sana tumbo, nilitaka kumpeleka hositalini akawa hataki, akaniambia kuna dawa amekunywa atajisikia vizuri.

Lakini hali yake haikua nzuri kabisa, alikua anazidi kuumwa tu, nililazimishia kwenda hospitalini ila aliniambia kuwa yuko sawa na kweli usiku huo alipata usingizi. Wakati akiwa kalala kuna meseji iliingia kwenye simu yake, mimi na mke wangu tunaaminiana, anashika simu yangu na mimi nashika yake.

Ilikua ni meseji ya rafiki yake na alikua anamuuliza kama anaendeleaje, huwa sina kawaida ya kusoma meseji zake kwani namuamini sana, lakini ile niliiona kwa juu na kwakua nilikua najua ni watu wanapendana ni marafiki basi niliona hakuna shida kumjibu kuwa angalau kapata usingizi. Niliifungua ile meseji na katika kujibu niliona meseji za juu yake.

“Yule Daktari hayupo, amefiwa na mke wake kasafiri, usiende Hospitali kwani ukienda kwa daktari mwingine mume wako atajua kuwa umetoa mimba, vumilia shogaa, kunywa hata vidonge vya usingizi asubuhi nitakupeleka mimi.” Meseji ya nyuma ilisema hivyo, mke wangu alijibu “Sawa lakini najihisi hata kufa, natamani kumuambia mume wangu kuwa sitaki mtoto tena.” Mke wangu alimjibu “Ukimuambia hivyo anakuacha mwenzako hana mtoto angalau wewe una wawili…”

Rafiki yake alimjibu hivyo na mke wangu hakujibu tena, meseji za nyuma kabisa zilikua zimefutwa. Kusema kweli nilihisi kuchanganyikiwa, sikutaka kuamini kuwa mke wangu ambaye tumekua tukihangaika mwaka watatu kutafuta mtotoametoa mimba, ilikua haiingii akilini pia kujua kuwa mke wangu ana watoto wawili, niliumia sana lakini sikusema chochote.

Niliscreenshot zile meseji na kujitumia, kisha nikafuta meseji ya rafiki yake ambayo alikua anaulizia hali yake ilia sijue kama nimeziona na sikumjibu tena rafiki yake. Asubuhi nilimuamsha mimi, na kumuambia kuwa nataka twnede hospitalini, aligoma lakini sikukubali, nilimuambia kabisa kuwa siwezi kumuacha afe kisa tu anaogopa kwenda hospitalini. Nilimsimamia akajiandaa nakumpeleka hospitali mimi mwenyewe.

Hakutaka niingie neya kwa Daktari kama kawaida yetu lakini sikujali, nilimpeleka kwa Daktari ambaye nafahamiana naye na nilishamuambia usiku kuwa nahisi kuna kitu kama hicho. Aliingia na kufanyiwa vipimo, kweli alikua katoa mimba na alikua hajasafishwa vizuri. Nilimhudumia mpaka nikahakikisha amepona, sikuongea kitu chochote na wala sikumuuliza kama alikua anaumwa nini, aliniambia tu tumbo lilichafukwa basi nikakubaliana naye.

Nilikaa kimya na kuanza kuchunguza vizuri, haikua shida kwani ndugu zake walikua wanajua kuwa najua ana watoto. Nilimtafuta tu mdogo wake, nikamtopa out na kuanza kuulizia habari za watoto wa dada yake kwani nilikua nahitaji tuwachukue.
“Unajua Dada yako anakua mpweke sana, hajanaimbia kuhusu kuwahcukua watoto ila nahisia naogopa, nataka nimfanyie sapraizi….” Nilimuambia.

Hapo ndipo alifunguka kuwa Dada yake alikua na watoto wawili ambao alizaa na wanaume tofauti na watoto wote wapo kwa Baba zao, hivyo hadhani kama hao wanaume wanaweza kumpa watoto. Aliniambia kuwa Dada yao ndiyo aliwapeleka alipokua chuoo akawatelekeza huko , ila baada ya kupata kazi alitaka kuwachukua Baba zao wakagoma ndiyo maana hakuhangaika nao tena, aliniambia labda niongee na Mama yake anaweza kunisaidia.

Mimi nilimuambia basi asimuambie Mama yake nitajua kitu cha kufanya lakini kusema kweli mpaka sasa hivi nimechanganyikiwa. Bado sijamuambia mke wangu kama najua kwua ana watoto, kibaya zaidi nimechunguza naklugundua kuwa ile mimba haikua ya kwanza, mke wangu alishatoa mimba zangu tano kwakua tu hataki mtoto kwa wkaati huo, nashindwa kuelewa nifanye nini, nachanganyikiwa sijui nimuulize mke wangu au nifanye nini, naomba ushauri wako ndugu.

copy and paste
Ni dhahiri malengo yenu hayaendani. Piga chini huyo, maana ni mbinafsi sana.
 
NIFANYE NINI MKE WANGU AMETOA MIMBA ZANGU TANO?

Mimi ni kijana wa miaka 33, nimeoa na ndoa yangu ina miaka mitatu sasa. Ndoa yangu ilikua nzuri sana na tangu kuingia kwenye ndoa mimi na mke wangu tulikua tuko vizuri tu. Lakini lilikuja suala la kupata mtoto, kila tulipokua tukihangaika kupata mtoto ilikua ni shida sana, tulishapimwa mahospitalini na kuonekana wote hatuna tatizo.

Kwakua naamini katika Mungu nilikubaliana na ukweli kuwa ni mipango yake hivyo nikaamua kukaa kimya na kusubiri majibu. Wiki iliyopita mke wangu alianza kuumwa, alikua anaumwa sana tumbo, nilitaka kumpeleka hositalini akawa hataki, akaniambia kuna dawa amekunywa atajisikia vizuri.

Lakini hali yake haikua nzuri kabisa, alikua anazidi kuumwa tu, nililazimishia kwenda hospitalini ila aliniambia kuwa yuko sawa na kweli usiku huo alipata usingizi. Wakati akiwa kalala kuna meseji iliingia kwenye simu yake, mimi na mke wangu tunaaminiana, anashika simu yangu na mimi nashika yake.

Ilikua ni meseji ya rafiki yake na alikua anamuuliza kama anaendeleaje, huwa sina kawaida ya kusoma meseji zake kwani namuamini sana, lakini ile niliiona kwa juu na kwakua nilikua najua ni watu wanapendana ni marafiki basi niliona hakuna shida kumjibu kuwa angalau kapata usingizi. Niliifungua ile meseji na katika kujibu niliona meseji za juu yake.

“Yule Daktari hayupo, amefiwa na mke wake kasafiri, usiende Hospitali kwani ukienda kwa daktari mwingine mume wako atajua kuwa umetoa mimba, vumilia shogaa, kunywa hata vidonge vya usingizi asubuhi nitakupeleka mimi.” Meseji ya nyuma ilisema hivyo, mke wangu alijibu “Sawa lakini najihisi hata kufa, natamani kumuambia mume wangu kuwa sitaki mtoto tena.” Mke wangu alimjibu “Ukimuambia hivyo anakuacha mwenzako hana mtoto angalau wewe una wawili…”

Rafiki yake alimjibu hivyo na mke wangu hakujibu tena, meseji za nyuma kabisa zilikua zimefutwa. Kusema kweli nilihisi kuchanganyikiwa, sikutaka kuamini kuwa mke wangu ambaye tumekua tukihangaika mwaka watatu kutafuta mtotoametoa mimba, ilikua haiingii akilini pia kujua kuwa mke wangu ana watoto wawili, niliumia sana lakini sikusema chochote.

Niliscreenshot zile meseji na kujitumia, kisha nikafuta meseji ya rafiki yake ambayo alikua anaulizia hali yake ilia sijue kama nimeziona na sikumjibu tena rafiki yake. Asubuhi nilimuamsha mimi, na kumuambia kuwa nataka twnede hospitalini, aligoma lakini sikukubali, nilimuambia kabisa kuwa siwezi kumuacha afe kisa tu anaogopa kwenda hospitalini. Nilimsimamia akajiandaa nakumpeleka hospitali mimi mwenyewe.

Hakutaka niingie neya kwa Daktari kama kawaida yetu lakini sikujali, nilimpeleka kwa Daktari ambaye nafahamiana naye na nilishamuambia usiku kuwa nahisi kuna kitu kama hicho. Aliingia na kufanyiwa vipimo, kweli alikua katoa mimba na alikua hajasafishwa vizuri. Nilimhudumia mpaka nikahakikisha amepona, sikuongea kitu chochote na wala sikumuuliza kama alikua anaumwa nini, aliniambia tu tumbo lilichafukwa basi nikakubaliana naye.

Nilikaa kimya na kuanza kuchunguza vizuri, haikua shida kwani ndugu zake walikua wanajua kuwa najua ana watoto. Nilimtafuta tu mdogo wake, nikamtopa out na kuanza kuulizia habari za watoto wa dada yake kwani nilikua nahitaji tuwachukue.
“Unajua Dada yako anakua mpweke sana, hajanaimbia kuhusu kuwahcukua watoto ila nahisia naogopa, nataka nimfanyie sapraizi….” Nilimuambia.

Hapo ndipo alifunguka kuwa Dada yake alikua na watoto wawili ambao alizaa na wanaume tofauti na watoto wote wapo kwa Baba zao, hivyo hadhani kama hao wanaume wanaweza kumpa watoto. Aliniambia kuwa Dada yao ndiyo aliwapeleka alipokua chuoo akawatelekeza huko , ila baada ya kupata kazi alitaka kuwachukua Baba zao wakagoma ndiyo maana hakuhangaika nao tena, aliniambia labda niongee na Mama yake anaweza kunisaidia.

Mimi nilimuambia basi asimuambie Mama yake nitajua kitu cha kufanya lakini kusema kweli mpaka sasa hivi nimechanganyikiwa. Bado sijamuambia mke wangu kama najua kwua ana watoto, kibaya zaidi nimechunguza naklugundua kuwa ile mimba haikua ya kwanza, mke wangu alishatoa mimba zangu tano kwakua tu hataki mtoto kwa wkaati huo, nashindwa kuelewa nifanye nini, nachanganyikiwa sijui nimuulize mke wangu au nifanye nini, naomba ushauri wako ndugu.

copy and paste
Hawa viume hawa ,tena hawa waliozaliwa kuanzia miaka ya 1983,Ni viukbe wa Hatari sana
 
Mwanamke yeyote akishatoa TU mimba hashwindi kukufanyia chochote kile
 
Ulishaamua kuoa, maandiko yanasisitiza tukizaliwa upya tusichunguze ya kale.

Sasa sijaelewa ndugu yangu unatakaje na ulishaamua kubeba msalaba wako.
Asili ina nguvu Binti aachi tabia ya mama yake.
 
Kama umeandika kuomba ushauri. Nikushauri
1. Wewe ndo uanze kubeba mimba
2. Hizo mimba si zako

Hakuna mwanaume anaweza uliza swali hili la kipumbavu. Wewe ndo mwanamke
Pamoja Na madhaifu yangu

1. Mwanamke akinidanganya suala la watoto, lazima nitafanya maamuzi magumu YA kumwacha najua nitaumia Ila nitamtoa Kia sehemu YA maisha yangu

2, mwanamke akitoa mimba yangu tukiwa kwenye ndoa ..hiyo ni ticket moja Kwa moja YA kumpiga chini Na kuanzia upya maisha pasipo yeye...
Bro kama bado inahitaji ushauri Zaidi YA huu jipige Moyo konde kuwa Wewe ni
zwazwa
 
NIFANYE NINI MKE WANGU AMETOA MIMBA ZANGU TANO?

Mimi ni kijana wa miaka 33, nimeoa na ndoa yangu ina miaka mitatu sasa. Ndoa yangu ilikua nzuri sana na tangu kuingia kwenye ndoa mimi na mke wangu tulikua tuko vizuri tu. Lakini lilikuja suala la kupata mtoto, kila tulipokua tukihangaika kupata mtoto ilikua ni shida sana, tulishapimwa mahospitalini na kuonekana wote hatuna tatizo.

Kwakua naamini katika Mungu nilikubaliana na ukweli kuwa ni mipango yake hivyo nikaamua kukaa kimya na kusubiri majibu. Wiki iliyopita mke wangu alianza kuumwa, alikua anaumwa sana tumbo, nilitaka kumpeleka hositalini akawa hataki, akaniambia kuna dawa amekunywa atajisikia vizuri.

Lakini hali yake haikua nzuri kabisa, alikua anazidi kuumwa tu, nililazimishia kwenda hospitalini ila aliniambia kuwa yuko sawa na kweli usiku huo alipata usingizi. Wakati akiwa kalala kuna meseji iliingia kwenye simu yake, mimi na mke wangu tunaaminiana, anashika simu yangu na mimi nashika yake.

Ilikua ni meseji ya rafiki yake na alikua anamuuliza kama anaendeleaje, huwa sina kawaida ya kusoma meseji zake kwani namuamini sana, lakini ile niliiona kwa juu na kwakua nilikua najua ni watu wanapendana ni marafiki basi niliona hakuna shida kumjibu kuwa angalau kapata usingizi. Niliifungua ile meseji na katika kujibu niliona meseji za juu yake.

“Yule Daktari hayupo, amefiwa na mke wake kasafiri, usiende Hospitali kwani ukienda kwa daktari mwingine mume wako atajua kuwa umetoa mimba, vumilia shogaa, kunywa hata vidonge vya usingizi asubuhi nitakupeleka mimi.” Meseji ya nyuma ilisema hivyo, mke wangu alijibu “Sawa lakini najihisi hata kufa, natamani kumuambia mume wangu kuwa sitaki mtoto tena.” Mke wangu alimjibu “Ukimuambia hivyo anakuacha mwenzako hana mtoto angalau wewe una wawili…”

Rafiki yake alimjibu hivyo na mke wangu hakujibu tena, meseji za nyuma kabisa zilikua zimefutwa. Kusema kweli nilihisi kuchanganyikiwa, sikutaka kuamini kuwa mke wangu ambaye tumekua tukihangaika mwaka watatu kutafuta mtotoametoa mimba, ilikua haiingii akilini pia kujua kuwa mke wangu ana watoto wawili, niliumia sana lakini sikusema chochote.

Niliscreenshot zile meseji na kujitumia, kisha nikafuta meseji ya rafiki yake ambayo alikua anaulizia hali yake ilia sijue kama nimeziona na sikumjibu tena rafiki yake. Asubuhi nilimuamsha mimi, na kumuambia kuwa nataka twnede hospitalini, aligoma lakini sikukubali, nilimuambia kabisa kuwa siwezi kumuacha afe kisa tu anaogopa kwenda hospitalini. Nilimsimamia akajiandaa nakumpeleka hospitali mimi mwenyewe.

Hakutaka niingie neya kwa Daktari kama kawaida yetu lakini sikujali, nilimpeleka kwa Daktari ambaye nafahamiana naye na nilishamuambia usiku kuwa nahisi kuna kitu kama hicho. Aliingia na kufanyiwa vipimo, kweli alikua katoa mimba na alikua hajasafishwa vizuri. Nilimhudumia mpaka nikahakikisha amepona, sikuongea kitu chochote na wala sikumuuliza kama alikua anaumwa nini, aliniambia tu tumbo lilichafukwa basi nikakubaliana naye.

Nilikaa kimya na kuanza kuchunguza vizuri, haikua shida kwani ndugu zake walikua wanajua kuwa najua ana watoto. Nilimtafuta tu mdogo wake, nikamtopa out na kuanza kuulizia habari za watoto wa dada yake kwani nilikua nahitaji tuwachukue.
“Unajua Dada yako anakua mpweke sana, hajanaimbia kuhusu kuwahcukua watoto ila nahisia naogopa, nataka nimfanyie sapraizi….” Nilimuambia.

Hapo ndipo alifunguka kuwa Dada yake alikua na watoto wawili ambao alizaa na wanaume tofauti na watoto wote wapo kwa Baba zao, hivyo hadhani kama hao wanaume wanaweza kumpa watoto. Aliniambia kuwa Dada yao ndiyo aliwapeleka alipokua chuoo akawatelekeza huko , ila baada ya kupata kazi alitaka kuwachukua Baba zao wakagoma ndiyo maana hakuhangaika nao tena, aliniambia labda niongee na Mama yake anaweza kunisaidia.

Mimi nilimuambia basi asimuambie Mama yake nitajua kitu cha kufanya lakini kusema kweli mpaka sasa hivi nimechanganyikiwa. Bado sijamuambia mke wangu kama najua kwua ana watoto, kibaya zaidi nimechunguza naklugundua kuwa ile mimba haikua ya kwanza, mke wangu alishatoa mimba zangu tano kwakua tu hataki mtoto kwa wkaati huo, nashindwa kuelewa nifanye nini, nachanganyikiwa sijui nimuulize mke wangu au nifanye nini, naomba ushauri wako ndugu.

copy and paste
Tafuta demu mwingine tia Mimba mpangishie nyumba.. uwe unajilia kimyakimya.. huyo ishi nae kama picha tuu[emoji23][emoji23][emoji23]

Maana mademu wa chuo kama una Akili timamu sio wa kuoa.. sidhani kama Kuna demu kamaliza chuo Bila kutoa mimbaz

Mama yangu Kwa aliyokuwa anayaona ofisini kwake alinipa hint.. nikae nao mbali sanaaa
 
Pamoja Na madhaifu yangu

1. Mwanamke akinidanganya suala la watoto, lazima nitafanya maamuzi magumu YA kumwacha najua nitaumia Ila nitamtoa Kia sehemu YA maisha yangu

2, mwanamke akitoa mimba yangu tukiwa kwenye ndoa ..hiyo ni ticket moja Kwa moja YA kumpiga chini Na kuanzia upya maisha pasipo yeye...
Bro kama bado inahitaji ushauri Zaidi YA huu jipige Moyo konde kuwa Wewe ni
zwazwa
Siku hizi hamna kabisa wanaume. Tumebaki wachache. Huyu anakuja kuomba huku ushauri kwa jambo ambalo angeamua tu kulimaliza. Jinga sana huyu.
 
Back
Top Bottom