miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Toba.....[emoji87] [emoji87] [emoji87]Hebu ufunge halafu nipigie basi.... Sio vizuri hivyo ujue
Ndio... hauwezi kupokea pesa bure[emoji3]
Huu ni mwanya mkuu....[emoji2] [emoji2]
Kumbe na namba ulitupa eeehh... Piga bwanaToba.....[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Mbuzi kafia kwa muuza supu...[emoji39] [emoji39]
Ngoja nikupigie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tatizo tukisevu baadae tunachanganya hujui ulisevu kwa jina gani.
Naomba namba yako mbiti [emoji12] [emoji12]jaman nimecheka sana jaman ! mie sipend kuombwa namba public! jaman unakuwa unajistukia tu !hebu wanaume halisi tengezeni business card jaman ! na sie tutengenezege mwee ! cc demi ,Neybright ,Heaven Sent ,espy ,Nalendwa ,Doris Gabriel ,babydoll
Yaani ungekuwa karibu ningekununulia balimi moja.Seduce me basi...?
Naomba namba yako mbiti [emoji12] [emoji12]
Mbona usinitafute kama kweli ulinimiss?[emoji12] ukinipa tu nakuanza na mtongozo wa nguvu[emoji1]hahahaa !nilikumis ulipotelea wap[i? mwanamatengenezo mwenzangu ! we takupa aisee!
HahahahahahaYaani ungekuwa karibu ningekununulia balimi moja.
Umenifurahisha,wimbo wa taifa. [emoji8] [emoji8] [emoji8]
Bado ninayo, ingawa ulinimimina kama uji..... kwakweli namimi ni mvumilivu sana hun.....[emoji39] [emoji39] [emoji39]Kumbe na namba ulitupa eeehh... Piga bwana