Wanaume mkiomba namba ya simu mpige

Hebu uliza hilo swali fasta kabla sijamalizia hili Faru John hapa mezani...


nilikuwa nataka kuulizia hivi vipi kesi ya uchaguzi Kenya inaendeleaje ! na uimemuona wapi Elli ?? aah sio huyu ni yule @elli79! nilimmiss lol !
pia je umesikia ccm wamefuta baadhi ya matokeo ya chaguzi zao? hv ni kweli?
naskia uchaguz TZEE utafanyika october [HASHTAG]#2020hatudanganyikikwapushapu[/HASHTAG] ?
 
Duhh....
Ongea polepole, tusije tukaanzishiwa uzi.....[emoji12] [emoji12]
Tayari nimesha kupigia pm....[emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Hahaha
Kumbe unaogopa uzi eeehh... Unipigie sasa au mie nikuanzishie uzi
 
Nirushie moja PM, [TAG]Asprin[/TAG]huwa anajiadai eti babu, babu babu wananasa. si unajua ,livyo na akili zenu wenyewe


hahaha akili gan zetu !haha mnatuonea tu wivu !mamen weng maish sas hv maisha magumuuuuuuuuuuuuuuuuuuu sie akuuu tunatereza tu km ganda vile shaaaaaaaa
 
hahaha akili gan zetu !haha mnatuonea tu wivu !mamen weng maish sas hv maisha magumuuuuuuuuuuuuuuuuuuu sie akuuu tunatereza tu km ganda vile shaaaaaaaa
Yaani ukipetriwa petiwa kidogo tu, tayari. Mwanamke msifie tu.....
 
Hahaaaa mshatukariri vibaya... Tunafanya makusudi hivyo... Make mnatuzingua sana...

Tuna cut expectations zenu... Na nikikutafuta nakusalimia tuu nduuuuuki
 
we bado kinda mie mwenyew nna business card mulize Asprin anawanasaje !
Hahaah we bhana unaniuzia kibudu kwenye kiroba. Vijana wa leo wanadhani wakishamiliki viTecno vyao basi wamemaliza kila kitu...

Pamoja na kuwa mi ni mkulima wa matikiti maji angalau najipa maujiko kwa kugawa vibizness kadi vyangu kwa wenye magenge na mama lishe.... inalipa kiaina
 
Maadam sina mkojo... maswali haya ntayajibu nikiwa na wakili wangu.

Japo kuna maswali mengine nashindwa kuyajibu sababu ya wivu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…