mi nilicheka hata kabla sijafungua uzi huuhaahahahahhha, duuu! nimecheka hapo mwishoni pamoja na hiyo picha hahahahaha
Business card tena?jaman nimecheka sana jaman ! mie sipend kuombwa namba public! jaman unakuwa unajistukia tu !hebu wanaume halisi tengezeni business card jaman ! na sie tutengenezege mwee ! cc demi ,Neybright ,Heaven Sent ,espy ,Nalendwa ,Doris Gabriel ,babydoll
Hebu uliza hilo swali fasta kabla sijamalizia hili Faru John hapa mezani...
HahahaDuhh....
Ongea polepole, tusije tukaanzishiwa uzi.....[emoji12] [emoji12]
Tayari nimesha kupigia pm....[emoji85] [emoji85]
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
kwahiyo tukikutana nakuambia, this is my business card call me please ama?mie nadhan ni nzuri zaid !
Nirushie moja PM, [TAG]Asprin[/TAG]huwa anajiadai eti babu, babu babu wananasa. si unajua ,livyo na akili zenu wenyewe
Yaani ukipetriwa petiwa kidogo tu, tayari. Mwanamke msifie tu.....hahaha akili gan zetu !haha mnatuonea tu wivu !mamen weng maish sas hv maisha magumuuuuuuuuuuuuuuuuuuu sie akuuu tunatereza tu km ganda vile shaaaaaaaa
Yaani ukipetriwa petiwa kidogo tu, tayari. Mwanamke msifie tu.....
Namba Yako Ninayo By Stamina Ft Mr BlueNitakupigia nitakupigia
Haaaha imenitokea week lilopita !baba kanifatilia nyuma yangu weeee uwii kwanza lisinipigie tu ! pyee
Akukupigia uta mpa?
Hahaah we bhana unaniuzia kibudu kwenye kiroba. Vijana wa leo wanadhani wakishamiliki viTecno vyao basi wamemaliza kila kitu...we bado kinda mie mwenyew nna business card mulize Asprin anawanasaje !
Maadam sina mkojo... maswali haya ntayajibu nikiwa na wakili wangu.nilikuwa nataka kuulizia hivi vipi kesi ya uchaguzi Kenya inaendeleaje ! na uimemuona wapi Elli ?? aah sio huyu ni yule @elli79! nilimmiss lol !
pia je umesikia ccm wamefuta baadhi ya matokeo ya chaguzi zao? hv ni kweli?
naskia uchaguz TZEE utafanyika october [HASHTAG]#2020hatudanganyikikwapushapu[/HASHTAG] ?