Hahaaaa. Kama unatabasamu kila ukikiona ujue kinasema maneno mazuri. [emoji2] [emoji2]
[emoji87] [emoji87] [emoji87]
Nimekumbuka tu enzi hizo mwanaume anakuja vizuri tu anaomba namba unampa bila hiyana ila siku inapita wiki, mpaka mwezi haupokei simu kutoka kwake.
Kwanini unaomba namba na kusave kabisa kama hauna nia ya kupiga?
Inakera mjue.
Kijiweni mashosti nao wakaligusia hili, eti "kuna jamaa kaomba namba kwenye basi wiki sasa hajapiga kabisa, sijui aliomba ya nini mxieee"
Wanaume mjirekebishe bwana kama mtu hautaki mawasiliano nae usiombe namba, inakera halafu ni kama kumchoresha mtu.
Hasa kwa wale watu ambao bado wanasearch au MBA's inakera.Ndiyo maana siku hizi ukiomba namba mwanamke anakwambia nipe ya kwako.
Please remember to call back.
Hivi ndivyo simu zenu huwa zinasubiriwa!![emoji23] [emoji23]
Najua tu hata ww lazma umekumbuka [emoji23] [emoji23] [emoji23]Usikumbuke hahahaa mie mwenyewe nimecheka utafikiri najua umekumbuka nini.
sasa mbn hako dawa yake ndogo sana mkuu !chonga dili na Dk akachome sindano ya usngiz ukakule !easy
Hahahaaa.....hii kitu inafanyika in real life au ni kwenye muvie mkuu!!?
Ha ha kwa Mbali unanisema. Yote kheri mkuuUkiombwa namba na ukakubali kuitoa, girls kuna mambo matatu ya kuzingatia kabla ya kum judge huyo mwanaume kama atapiga kweli na yuko "serious" ama lah!
1. Baada ya kuingiza namba yako kwa contact list yake, kama hajakuflash(beep) au kukutext SMS ili kuthibitisha kama namba ulompa ni sahihi na iko hewani na ni yako sio ya polisi au ya bwana ako, akiisave tu na kusepa....hata usiwe na kihoro cha kusubiria kupigiwa naye, he has gone by the wind
2. Wanaume tunakuwa (sometimes) nervous ( inafichwa tu na ujasiri wa kiume) pale tunapokubaliwa (initial steps) when approaching a beautiful girl! Kwa hiyo akili inaweza kutetereka kidogo na hivyo hata namba unazomtajia akaandika wrongly, or incomplete! Then kama huyu kaka hajafanya yale ya namba 1 hapo juu, then story zitaishia hapo.
3. Regardless of namba 1&2 hapo juu, inawezekana jamaa akawa very busy with other issues za maisha na kijamii, so ile exitment alokuwa nayo initially alipokuona na kuku"feel" imeisha, so hana tena mzuka, kama ni joto tuseme lilifika 100•C alipokuona nakukuomba contacts but under circumstances joto limeshuka to 0•C! Hawezi kukupigia tena. Utangoja milele.
ADVICE!
Ukiombwa namba ukakubali kutoa, wewe usiombe, bali taka upewe yake pia. Akiuchuna unamwendea hewani wewe! Unapandisha upya ile joto to the top!
hahahahaahahahaahahpale unaposubiria msg za tigopesa na ukijua naira kadhaa soon zitaingia kwa account for the weekend lakini msg zinazoingia ni..
sms1 TIGOPESA: "ndugu mteja tafadhali tunza na hakikisha namba yako ya siri haijulikani na mtu mwingine."
sms2 Tigopesa: "ndugu mteja hakikisha unanunua luku mapema mafundi watakua wanashughulikia mitambo huduma ya tigopesa haitakua hewani kuanzia saa 6:00pm.
sms3 Tigopesa: " ndugu mteja mafundi wameshakamilisha tatizo la kiufundi hivyo huduma ya tigopesa ipo hewani kwa sasa."
sms4 Tigopesa:"umepokea tshs 300 kutoka tigo gawio,salio lako ni tshs 335.
sms5 Tigopesa:"ndugu mteja Tigo inakukumbusha kulipa deni lako la tar 20/8/2017 lipa mapema ili uendelee kufurahia huduma zetu".
kwa mfululizo wa msg kama hizo hadi siku inaisha lazma uvunje sim.
Mie sipendi meseji jamani,Sometime ukifikilia process ya kutongoza na kufatilia fatilia,mostly girls aint straight wanakonakona nyingi...unaona yatakuwa yaleyale,unakuta umeghahiri...na kingine life is too busy sometime unataka uhandle vitu vingi at once,so texts inakuwa so suitable na unakuta mwingine perception yake anaona ukimtext kuwa hunapesa ya kupiga na anapiga kimya,mtu unaona who cant chat cant even afford the nature of one's communication, mwingine umemtext then she calls,unaona huyu naye yale yale.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkulima wa tikiti na business card,Hahaah we bhana unaniuzia kibudu kwenye kiroba. Vijana wa leo wanadhani wakishamiliki viTecno vyao basi wamemaliza kila kitu...
Pamoja na kuwa mi ni mkulima wa matikiti maji angalau najipa maujiko kwa kugawa vibizness kadi vyangu kwa wenye magenge na mama lishe.... inalipa kiaina
Lakn baby mbona mm nmekuomba nikupigie umekausha hata hunijibu PM?Yani jana nimetoka kuombwa namba nikaikumbuka hii thread nikaishia kucheka mpaka aliyeniomba namba akasmile bila kuelewa ila alinipigia lol
Haaaa mazoezi ya confidence,kisha akifuzu anaenda kuyafanyia kwa mwingine?Unakuta siku hyo mtu kaomba namba kwa wadada zaidi ya watatu na wote wamempa,sasa unachagua kati yao mkali zaidi ndo unakuwa na maendeleo.
Wengine wanakuwa wanafanya tu mazoezi ya confidence,so ukishampa namba zoezi linakuwa limekwisha
Sent using Jamii Forums mobile app