Wanaume mko wapi?

Wanaume mko wapi?

yap naitaji marafiki wa kwely,ambaye yuko tayari kumsikiliza mtu,asiwe mbinafsi etc account yangu fb http://fb.me/newtonfox mengine tutayaongelea huko kama whatsapp,twitter,mig33,qéep etc
 
Data za yeye kujiunga jf na ombi lake vinasadifu kuwa kajiunga hapa kwa ajili gani! Itafahamika tu mbele ya safari.

mkuu mudi....... kuna mtu aliwah kuniambia kwamba 2yrs kuelekea 2015 tutaona id mpya nyingi tu na hizi zinamaana kubwa sana nyuma yake. nimejaribu kuchinguza chache nilizoweza nikakuta ni za memba wa humu humu ka sera ya multiple id lol!
 
Join Date : 7th November 2012
Posts : 4
Rep Power : 0
Likes Received 0

Likes Given 0

madame X njoo umfunde madem S maana ni kama hujabandika sufuria la ugali halafu unategemea ugali "don't expect hot soup from empy pot"

Iyo speed alio nayo hata formula 1 haifikii mmmmmmhhhhh 😱😱😱😱
 
Last edited by a moderator:
Mmeona huku ni mdebwedo ukisema unapata wakumwaga??hata kama vigezo na masharti hayajazingatiwa?/kweli haaa sasa mnapotea huku wachumba hakuna tafuta mtaani!kwako!
 
Mmeona huku ni mdebwedo ukisema unapata wakumwaga??hata kama vigezo na masharti hayajazingatiwa?/kweli haaa sasa mnapotea huku wachumba hakuna tafuta mtaani!kwako!

Kuna wanaobahatika wanapata humu humu..!!
 
bila shaka wewe utakuwa mchuna ngozi??
 
jamani wanaume natafuta mchumba wa kunioa mbona hamnipm?
post 7, mwezi wenyenyewe hujamaliza since yu joined, then 1st post unatafuta mchumba, hii inatosha kwa kila mwanaume kujua huyu ni mwanamke wa namna gani, nilijua ambianc ndio right place kumbe sasa mna seek chance mpaka jf, so nastic
 
post 7, mwezi wenyenyewe hujamaliza since yu joined, then 1st post unatafuta mchumba, hii inatosha kwa kila mwanaume kujua huyu ni mwanamke wa namna gani, nilijua ambianc ndio right place kumbe sasa mna seek chance mpaka jf, so nastic

haaaah haaah haaah
 
kwa hizo data zake, atakuwa kaambiwa na shoga zake kwamba huku kuna wanaume wa kuoa ndo maana kaja.
karibu sanaa ,
waume tafadhalini mPM huyooo!!!
 
wanaume tupo mie ni mmoja kati ya wanaume walio kamilika kwa kila kitu napenda tuanze safari kwa pamoja pia
vizuri kama tutawasiliana kwa namba zangu 0715696534.au sms vyote vitajibiwa kwasababu mi nimuhitaji wa kuoa.
 
Back
Top Bottom