mkuu mudi....... kuna mtu aliwah kuniambia kwamba 2yrs kuelekea 2015 tutaona id mpya nyingi tu na hizi zinamaana kubwa sana nyuma yake. nimejaribu kuchinguza chache nilizoweza nikakuta ni za memba wa humu humu ka sera ya multiple id lol!
jamani wanaume natafuta mchumba wa kunioa mbona hamnipm?