Wanaume mko wapi?

Sisi tupo hofu nikwako tu,halafu hujaweka detair za kutosha kwamba unataka mwanaume a namna gan hata zombi utamkubali?
 
mkuu mudi....... kuna mtu aliwah kuniambia kwamba 2yrs kuelekea 2015 tutaona id mpya nyingi tu na hizi zinamaana kubwa sana nyuma yake. nimejaribu kuchinguza chache nilizoweza nikakuta ni za memba wa humu humu ka sera ya multiple id lol!

we Mama u must be genious! hizi madam'z are not new....huenda wameachika huko sasa wanahaha kutafuta dogodogo.

Good lucky!
 
Mbona mwenye huu uzi mwisho wake kuingia humu ni dec. 2012! Watu wawe makini jamani
 
Mimi natafuta mke Ila awe Bikra je wewe ni bikra?
 
Mie nataka kuongeza wa tatu...kama upo tayari mitara njoo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…