Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Yaani unapolalamikia kidume kupampu hausgeli, utazame wewe umekosea wapi? umebadilika kitu gani? n.k Jambo kuhusu ndoa bn, yaani mkishaoa mnakuwa kama Mch. na mama mch. yaan yale maladha ya kabla ya ndoa yanapotea mapema mnooo
 

We kenge kweli soon unapata kesi ya mauaji kwa ajili ya beki tatu
 
Siyo mchezo. Kwa hiyo ngoma ni droo. Sasa, kwa house girl mwanaume ndo anaanza kumtongoza, sasa je na houseboy ni mama ndo unaanza kumtongoza au anakuwa amekutongoza unamkubalia
Dooh sasa hapo ngoja nikaulize kule nilisikia[emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji125]
 
Sometime bora kuoa mademu wa kawaida kuliko hawa waliosoma,mwanamke akiwa na elimu au pesa anakuwa ana nyodo kweli,anataka kuishi kama malkia wa uingereza au kim kardashian
 
Mnavyosingizia wake zenu wakati wengi wenu goi goi tu wake zenu wanawavumilia tu nakuwafichia aibu
Ugoi goi mnausababisha wenyewe mara unasema usinishike mara usinibinue,mbona michepuko tunaifikisha kileleni
 
Binafsi ukiniuliza sababu hii ndio sababu hasa, wanawake wanakera kwa uvivu wao wa kijinga. Unaomba gemu mizinguo kibao mara nimechoka mara vile ukimaindi sana anakupa ila unakua kama unagonga kinyago yani hamna ushirikiano kabisa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mimi mwanamke nimemuoa nimetoa na mahari alafu anipangie tendo la ndoa lbda mimsio mimi
 
Hahaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hapo umenena, yaani utadhani uko na maiti, mpaka inakera basi tu. House girl mbona wako vizuri, waache kuwaonea wivu maana wao wameshindwa kazi yao kwa kujitakia.
Duu!!!! Maiti tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…