Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Wanaume mliolala na wadada wa kazi zenu mtujibu ili tuelewe

Mimi sio pumbavu ila nyie waume ndo huanza kuharibu nyumba ujue mapenzi ni hisia wewe unanikwanza hujaniandaa unataka ngono na nyie wanaume huwa rahisi kusahau maudhi yenu kwetu nyege zikiwapanda unataka nikupe tu si bora uende tu kwa huyo beki Tatu maana ndo solution na Mimi nitafta mwingine maana mume kuchepuka hakupendi sasa ili Ku neutralize hali dawa nikutafta na wewe wakukupunguzia machungu na nyie mubaki na beki Tatu. Hafu nyie mwataka kuchepuka wake zenu wakichepuka mwawa wakali. Mi baby wangu akichepuka mi ni date marafiki zake hadharani tuone[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Sasa unakuta mwanamke hutaki kuguswa kila sehemu, kunyonywa titi hutaki, kupapaswa hutaki, utasiki "usinuguse huko, titi zinauma, fanya haraka mie nilale nk..." halafu unataka uandaliwaje? ....
Halafu unakuwa kama gogo tu kitandani! Mwanamume anahangaika peke yake, mwanamke hata kushtuka hakuna. Mwanamume anavumilia wee mwishowe anaona upuuzi huu, hatimaye anatafuta alternative.

Mbona beki 3 ukimgusa tu, tayari kashakukumbatia na mambo mengine yanaendelea na hakuwekei mipaka?

Wanawake jirekebisheni ikiwezekana muitane mpeane semina. Maana wanawake wa dot com hata unyago humpitii. Sijui hata kwenye kitchen party huwa mnafundishwa nini?
 
Kuna kiumbe asiye mlalamishi kama mwanamke...." hata umpe dunia nzima na mbingu yote bado atalamika tu".
Hampendi kuwa sikiliza na kufanyia kazi yale mnayo ambiwa mnapuuzia ndiyo maana wanalalamika
 
Mm nimekula beki tatu wangu miaka kama 3 hivi na si kukamatwa, and nlichogundua tu, ni kwamba baada ya kuanza kula beki3, upendo na mke wangu uliongezeka kwani nlimpenda zaidi, pia tukawa hatugombani mara kwa mara maana nlikuwa nawahi kurudi yaan nikitoka tu job narudi home. Maana nlikuwa napenda kuwa karibu na beki tatu wangu. Yaan nlikuwa nikimsikia anacheka, ama anaongea najiskia raha sana. Beki tatu hasumbui ukitaka mzigo yaan anytime, anywhere, in short unapewa hata mara tatu kwa siku. Njia kuu usumbufu mtupu. Kaondoka beki3 wangu saiz kurudi hom mpaka giza liingie
Na cha kushangaza wife na beki3 walikuwa marafiki kinyama yaan wanapendana balaa
Ulaaaaaanikeeeee
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji2] kumbe ngoma droo anakuwa kamaliza huko kama ni hivyo hakuna shida ni kukomoana tu
Na akili hii ndio imefanya ndoa nyingi ziende ICU yani. Ndoa ni swala la furaha aisee. Inapotokea mmoja wenu anaona kama anamfanyia favours mwenzake (selfishness) mitihani huanzia hapo. I think ile dhana ya committment ama kujitoa haipo tena katika ndoa za sikuhizi bali ni mashindano.

Nani mwenye wadhifa amkomoe mwenzake ndio style ya ndoa zetu za kileo. Hamna ile kuchukuliana kwa upendo kuwa mume wangu ananihitaji sahivi nijitahidi nimhudumie tu ata kimoja alale japo nimechoka. Sio kutoa jibu jepesi tu sa kama nimechoka nifanyeje na kumpa mgongo.
 
Hii mada INA wanaume wapumbavu ndo maana wake wanawanyima papuchi wanaenda kugawa nje wewe wachepuka na beki Tatu wafikiria.mke hajui kumbe anajua naye anakipoozeo kinacho mhonga sasa kwanini ajichoshe na wewe wakati hisia zimeshakufa yani, ukiona mwanamke anakunyima ujue hisia Hanna lbora muendelee kula beki Tatu na yeye anaye mwingine mwenye hadhi kuliko wewe baba mjengo
Hilo neno wake wanachukua wenye hadhi si kila siku wanakutana huko mtu anajiuliza yule bwege nyumbani ananisumbuq wakati huku anakutana na watu wamaana lenyewe midevu uso mzima hata mapenzi halijui tu kutwa usumbufu pesa yenyewe shida kwanini usinyimwe, mwanaume mwenye akili hawezi msifia beki 3 kuliko mkewe
 
Ni ujinga uliopitiliza [emoji39] [emoji39] [emoji39] mie simwamini mwanamme % zote katu
Nini % zote hata zero simuamini mtu anaitwa mwanaume analala na papuch usiku Kucha anaamka anazua safari kumbe anaenda hoteli kugegeda papuch tena looh naanzaje kumuamini mwanaume
 
Ujue wanawake tumeumbwa kuanza kushtukia nyie wanaume ndo hufanya wanawake wawachoke wewe watoka na beki tati wajua siri kumbe yeye anajua automatic upendo unakufa anajitaftia wake wewe unabaki tu baba mwenye mji. Siku wanaume mkajiheshimu hamna mwanamke anayeweza kuwa mjeuri bora kumuelekeza kwa upendo kuchepuka sio solution
Wengi hawasikilizwi wanaume wanatumia ubabe tu mwisho wake ndiyo kuchokana waburuzane na huko jikoni na kwenye michongoma wake wenyewe wanapelekwa sehemu zenye hadhi
 
  • Thanks
Reactions: naa
Wengi hawasikilizwi wanaume wanatumia ubabe tu mwisho wake ndiyo kuchokana waburuzane na huko jikoni na kwenye michongoma wake wenyewe wanapelekwa sehemu zenye hadhi
Tatizo wao wanajifikiria wao tu haja za mwili kuliko wenzi wao matokeo yao mambo yanashindikana licha ya kuchepuka wao ndo huwa wahanga wakubwa kuliko wake zao.
 
Nini % zote hata zero simuamini mtu anaitwa mwanaume analala na papuch usiku Kucha anaamka anazua safari kumbe anaenda hoteli kugegeda papuch tena looh naanzaje kumuamini mwanaume
Hawa viumbe sio wakuwaamini kabisa ni bora kuishi nao kimachale chale tu yeye ahangaika na mchepuko na wewe wajiandaa na yako siku ukimshtukia analazwa ICU
 
Mimi sio pumbavu ila nyie waume ndo huanza kuharibu nyumba ujue mapenzi ni hisia wewe unanikwanza hujaniandaa unataka ngono na nyie wanaume huwa rahisi kusahau maudhi yenu kwetu nyege zikiwapanda unataka nikupe tu si bora uende tu kwa huyo beki Tatu maana ndo solution na Mimi nitafta mwingine maana mume kuchepuka hakupendi sasa ili Ku neutralize hali dawa nikutafta na wewe wakukupunguzia machungu na nyie mubaki na beki Tatu. Hafu nyie mwataka kuchepuka wake zenu wakichepuka mwawa wakali. Mi baby wangu akichepuka mi ni date marafiki zake hadharani tuone[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
[emoji28] [emoji28] [emoji28] halafu niwamaana kuzidi yeye sipati pic maumivu halafu anaogopa kukuacha maana watachukua mazima mweeee
 
Tabia mbovu yakutokujiheshimu kwa kweli Dada wa kazi aliwahi ambukiza baba na wanawe waliokuwa wana balehe
Ona sasa mjinga nani hapo kama majuha vile kizazi cha manyani
 
Kuna wanaume wana pewa equal treatment kujaliwa lakini ndo michepuko haiishi so kuchepuka ni umalaya tu hauhisiani na kujaliwa mapenzi hujengwa na wawili mi nikipata watoto kwa kweli mwanaume chepuka utakavyo utajiju babu eeeh
Sababu kubwa ya mwanamume kuchepuka ni uchoyo wa mke wake. Sababu zingine ni mwanamke kutomjali mumewe mfano unatoka kazini na begi lako la computer mkeo kakaa tu, anamwagiza house girl akupokee, kisha anamwagiza house girl akutengee chakula. Mbali na hapo nguo zako zote hadi za ndani zinafuliwa na house girl, chakula anakupikia house girl.. nk. hivi hapo unategemea nini?

Wanawake amkeni labda mtaokoa jahazi, dakika za mwishoni.
 
Back
Top Bottom