ExactlyAkili za kudanga ni za wanawake waliojikatia tamaa na maisha. Huwezi kuwa mke mwenye kujiheshimu ukaacha kuogopwa na mumeo kabisa. Umemkamata mume vizuri anaanzaje kuchepuka yani!
Solve matatizo na mumeo acha kukimbilia kudanga.
Sahizi ndiyo nikushauri kabal hujaanza kwanini usinge ongea na mke kwanza endeleeni tu kuchepuka mkizani wake ni wajinga kiasi hicho mngejua wanawake wana akili kuwazidi msingekuwa mnafanya upuuzi huo ni basi tu tunawaheshimu tuIna maana mpaka kufikia kuchepuka ulishindwa kuyafanya hayo,,,that will be too late aisee! Instead ya wewe kwenda nje kuchepuka ilibidi ukae nae uangalie ni namna gani unatafuta suluhu ya hilo lisijirudie. Mueleze madhara ya kutembea na beki tatu na uape kuwa hutarudia kuwa mzembe katika nafasi yako. Thus how a strong woman should be
Pole mamii lakini na nyie mliambiwa mtii waume zenu. Nanyi hamfanyi hayo. Naona waongea kwa hisia...nikahisi tu utakuwa muhanga. Pole tena.Hahaaaa huo ndo ukweli mchungu nyie mliambiwa muishi nasi kwa akili sasa dawa ndo hyo tu
Mkuu umemaliza kila kitu. Hapa ndipo akina mama wanapokosea. Akishaolewa anadhani amemaliza kila kitu....anadhani wanaume wanaridhika kutegeshewa hata kyuma zenye utoko na mijasho ya wiki nzima. Never! Hakika akina mama msipobadilika mtagegedewa nje ya ndoa hadi mtakapobadilika.Wanawake hua mna classses, yani akili ya mwanamke ina classes, akishakua na level flani hivi ya maisha basi hujiweka kwenye hiyo level.
Inapokuja swala la mwanamke, mwanaume hana class, awe beki tatu, awe waziri au rais wote ni wanawake, kinachowafanya kua hvyo sio vyeo vyenu bali ni kyuma.
Mwanaume hana class kwenye kyuma, kyuma zote ziko sawa. Ndio maana anaweza kua na mwanamke mzuri na mwenye hadhi kubwa ila akatafuna beki tatu ambae hana mbele wala nyuma.
Mshedede ukiamka hua hauangalii hii kyuma ni ya nani, iwe ya beki tatu au yoyote kikubwa iwe kyuma tu.
Nachojua beki tatu wengi bado wanakua wabichi, bado wana ladha fresh, bado misuli yao ya uke iko tight na mnato.
Sababu kubwa nyingone ni mahubiri ya Nabii wa Mwisho na Nabii wa kweli Nabii Tito.
Mchunguze vizur huenda anatatizo la kifamily huko kwao lina mkwaza au umemkwaza mahala hasemi au kuna mtu anampa yote wewe kazi yako kulisha tuUkimwangalia usoni anaonekana anelewa lakini kwenye practical bado shida.
Vipi kuhusu wale wanaocheat tu bila sababu zozote, unakuta mume anajali anahudumia ila mwanamke ni cheater hatari!Nawe ukiona mke hayuop kaanaye muulize tatizo nini lakini muda wakukaa na mke hakuna muda wote kazi na michepuko mke naye afanye nini wakati naye anamoyo wa nyama na hisia anazo ukiona mke naye anacheat tambua kavumilia kiwango cha lami
Huyo mama anaekushauri anaku- mislead joh!Ndo na mwanamke usipokuwa na akili unaweza angamiza familia huna unachofanya ndo mana siku hizi hzi tabia zinafanya wanawake wafanye mambo yao kisiri siri kwa ajili ya watoto hata miradi acjue maana ukiendekeza watoto.hawaezi kuwa na future mama usiposimama, kuna mama mumewe alikuwa tajiri lakini michepuko ikafanya maendekeo yao yakawa duni mama naye wakawa wanashindana na michepuko kwa waganga mwishowe mwanaume akafa familia haina mbele wala nyuma, basi huyo mama huwa ananihusia ni fight tu vyovyote kwa ajili ya watoto, hafu huyo mume alivougua mchepuko ukamkimbia mke mkubwa ndo akamuuguza huku akiwa anajiharishia tu. Mi mwanaume anayeendekeza starehe bila kuweka familia mbele ni waku muignore tu aisee.
Tatizo akili zao zote zinahamia kichwa cha chiniHahaaaa huo ndo ukweli mchungu nyie mliambiwa muishi nasi kwa akili sasa dawa ndo hyo tu
Fafanua uhanga huo ukoje?Tatizo wao wanajifikiria wao tu haja za mwili kuliko wenzi wao matokeo yao mambo yanashindikana licha ya kuchepuka wao ndo huwa wahanga wakubwa kuliko wake zao.
Yani ujue had MTU kuzini huwa ameamua kabisa moyoni kwa kuendekeza tamaa sasa Mimi nikwambie madhara wewe hujui au ndo wale wanaume wanaojipa haki, ni bora uendelee naye tena mi ka mke nikijua watembea na beki Tatu nitafurahi nakumpandisha hadhi tuwe tunalala wote watatu kitandani mana mke mwenza, mie hapo papuchi naiweka reserve kwa MTU mwingine anayenisaidia mawazo na akili.Ina maana mpaka kufikia kuchepuka ulishindwa kuyafanya hayo,,,that will be too late aisee! Instead ya wewe kwenda nje kuchepuka ilibidi ukae nae uangalie ni namna gani unatafuta suluhu ya hilo lisijirudie. Mueleze madhara ya kutembea na beki tatu na uape kuwa hutarudia kuwa mzembe katika nafasi yako. Thus how a strong woman should be
Astaghafirullah[emoji86]Nimemla beki tatu wangu zaidi ya miaka miwili hadi tumezoeana na wife ametumia njia zote za upelelezi lakini ameshindwa ila tatizo analo moja la wivu ana wivu balaa natamani hata wife afe ili nimuoe yeye kwa sababu sifa zote anazo hasa kwenye 6x6 huwa ninakakunja kanabaki kama tyre bajaji
Hakuna kitu kama hicho kwa mke mwenye akili na busara ukiona hivyo ujue ni too much hakuna namnaShida ni kuwa sio KE wote, mwanamke mwenye akili za kuchepuka ili amkomoe mumewe hata ukimuomba msamaha ni kazi bure kwanza wengi ni watu wamashindano. Atataka akukalie kichwani kitu ambacho mwanamume ataishia kuku ignore kama sio kukupiga makofi!
Kama mke msikivu inafaa sana ila kama sio ni aibuHafu ujue haya madawa ya uzazi hufanya mke kuwa na hormonal imbalance huko chini kunakuws kukavu hamna ute sasa wewe mume una mshauri ulaji ulio bora sio kumwacha nakukimbilia kuhangaika huko nje. Mahusiano hujengwa na wawili
Acha wajitangaze simba mwenda kimya ndiye mla nyama huyoMwanaume akianza kuchepuka you will notice tu maana sisi ka walezi tunajua anaanza kujishtukia na tukishajua mapenzi yanakufa automatic na vile sisi huwa hatusemagi ka wanaume sasa ukikutana na danga linalojali wala hujisumbua mana kashakutoa ugwsndu wako na vile sisi tuki date na watofauti na mume huwa tunakusahau wewe wa ndoa nakujali kunaisha, sasa wenzetu wao ni kutangaza tu
Hafu sisi tukiwa tunachepuka upendo hufa kabisa nyie hata mkichepuka hatuumii tena tunawaona tu ka watu wa kawaida, mkirudi tunasema huyu sheyani vepee tunawaza mkojozaji wetu[emoji2] [emoji2]Shida ni kuwa sio KE wote, mwanamke mwenye akili za kuchepuka ili amkomoe mumewe hata ukimuomba msamaha ni kazi bure kwanza wengi ni watu wamashindano. Atataka akukalie kichwani kitu ambacho mwanamume ataishia kuku ignore kama sio kukupiga makofi!
Huyo mwanamume wa kuvumilia hivyo atakuwa karogwa labda. Hapo hakuna cha yellow card! ni Red card faster[emoji28] [emoji28] [emoji28] halafu niwamaana kuzidi yeye sipati pic maumivu halafu anaogopa kukuacha maana watachukua mazima mweeee
Beki tatu si unagusa mara moja moja ukiwa free, hasa baada ya kutoka mihangaikoni.Uko busy na beki 3 saangapi utawaza ya maana
Umeona eeeeh sema tu wanawake huwa hatuongei unakuta uko na mume anakibamia hajui mapenzi akiingiza tu kimelala sasa ukiskia anatoka na michepuko unacheka tu moyoni mana mchepuko hauna siriTena kwa moyo mweupe pee yeye na jasho za beki 3 anajisifia [emoji39] [emoji39] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28]
Ndiyo ile yeye anaona uko busy na watoto badala muwewote ili kuunganisha upendo kwa watoto ndiyo maana upendo mwingi wa watoto upo kwamama mtoto hata akiwa na umri mdogo akiona mama anatoa machozi kuna kitu hukiweka moyoni wababa hawajui tuHalafu wasivo na akili ana mlaumu mkewe aliye mzalia watoto, kulea tu ni kazi yeye anahangaika na Malaya hafu anajiona mjanja, dawa ya hawa viumbe ni kutafta kipoozeo tu nakumuonyeshea actions
Mmmmmm muda wakukaa wake haupo ndiyo maana mengi yanjitokezaDuh huyo atakuwa mtu wa I.T labda! Sie watu wa hospitality and tourism lazma tutalii maeneo mbali mbali mwilini kwako!