SawaYani nijifunze kwa kuota huo mda sina tena maana hujataka kuniambia solution yako ukakimbulia kuchepuka [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] sasa na Mimi kuna danga langu linanibembeleza nakunipa mafezwa pia kunirahishia mambo si bora nimtunuku tu yote kabisa
Yani imagine kutoka familia nzuri had ya watoto wasioeleweka with no good futureLini michepuko ikamtunza mme wa mtu wao wanatafuta maslahi basi sasa hawa wenye vichwa 2 akili zinagawanyikaga kabisa zinashindwa kutulia kabisa mwishowe ndiyo huo
[emoji2] [emoji2] [emoji2]Sawa
Yani wewe uchepuke ni sawa mwenzako akitaka wakumjali uumie [emoji2] [emoji2] [emoji2] mkuki kwa nguruweWangejua tunavyo pambana ili tuwatunze huu ujinga wangeacha.
Mume hakutoshi omba kuwachwa nenda kwa anae kutosha
wanatulazimisha kuua tu
Ukinitunuku namm ntafurahi sana[emoji12][emoji2] [emoji2] [emoji2]
Umeona eeeeh sema tu wanawake huwa hatuongei unakuta uko na mume anakibamia hajui mapenzi akiingiza tu kimelala sasa ukiskia anatoka na michepuko unacheka tu moyoni mana mchepuko hauna siri
Kuna wanaume wanapewa mda wote na kuchepuka kupo damuni hata ufanyeje unafikiri na Mimi nitamvumilia huo ujinga ujue wanawake hunyamazia mengi si kwamba tu wajinga hapana hapo lazima tutafte mwingine kuziba hilo pengo lako LA kuchepuka, na sie tukichepuka ndo mapenzi hufa tunakuwa feelings zimeisha kabisa kwenu ndo mwabaki nakulalamika nyie hata mbiduke nyie ndo hutufanya tuanze kufanya uovu, tena bora anayechepuka akakuacha salama wengine huweka visasi had kuua waume zao, nyie wanaume mjifunze Ku solve matatizo sio kukimbilia umalaya eti mwatukomesha mtaumia nyieKwani kusaka hela kuna justify kutokufanya mapenzi. Ina maana unataka kuniambia Mo Dewji hamkazi mkewe ye anatafuta hela tu muda wote cariha?
Kugongwa ni sehemu ya maisha ya mke ambapo ni wajibu asiotakiwa kuukwepa kwa namna yeyote. Sasa kama mumeo unaona kazi kumpa kwa sababu ya uvivu wako tu huo ujasiri wa kumpelekea danga unautoa wapi bibie, otherwise mumeo labda humpendi aisee uliolewa ilimradi upate sifa kwa mashosti!
Kuna sentensi umeiruka au kuiacha. Imalizie tu kuwa "HATA WW UMEFANYA"[emoji1]haya mambo ya baadhi ya wanaume wenzetu kuwatafuna mabeki 3 nilikuwaga naona kam fix tu "" tena nilikuwa naona kuwa nikitendo kiovu mnooo kukitenda ...
lakini tangu nikipoingia humu JF NA KUKUTANA NA SHUHUDA MBALI MBALI TOKA KWA VICTIMS ....MIMI MWENYEWE NIMEANZA KUONA KUWA NI HALI YA KAWAIDA ..
AMA KWELI DHAMBI IKIPEWA MJADALA SANA HUGEUKA NA KUWA WEMA ""
Mjanja ni yule wa kwanza kufungua soda na kuinywa ikiwa na gesi yake, lkn hawa wengine ni sawa na kuvaa nguo ya mtumba na kuanza kutamba kapendeza wakati ilishavaliwa na wenzake.Sio tu stress imagine awe na michepuko mitano yetu airidhishe, atafte hela kwa shida yote iwe INA mpa mawazo,ulaji mubovu bado hao michepuko hawajampa malibwata ya kwenye papuchi kwanini asife mapema aache papuchi ya mkewe ikiliwa na wajanja
Mbaya zaidi wakigundulika wanavyotiaga huruma as if wakati anachepuka alikuwa kichwa chake kamuazima mtu mwingine!Wangejua tunavyo pambana ili tuwatunze huu ujinga wangeacha.
Mume hakutoshi omba kuwachwa nenda kwa anae kutosha
wanatulazimisha kuua tu
Umeanzia kati.Yani wewe uchepuke ni sawa mwenzako akitaka wakumjali uumie [emoji2] [emoji2] [emoji2] mkuki kwa nguruwe
Mbona na nyie hukimbilia kuchepuka eti kisa mke umeshindwa kukaa naye kwa upendo umalize tatizo. Yani na ukiona mke kakimbilia danga umeliwa nyie wanaume huwa hampendi kutusoma wanawake ukimheshimu hata yeye ataona aibu sasa, wewe chepuka lazima ajue mlipizane uone Nani ataumia?Ishu sio kubembelezwa, ishu ni kuwa KE anapokuwa source ya tatizo inabidi ajirekebishe bila kukimbilia comfort ya third party (danga).Kutumia kama kichaka chake cha kulikimbia tatizo.
Kunguru huwa hafugiki sasa Mimi kuhangaika na acye jielewa cna huo mda mchafu aende tu kwa mchepukoHahahah we unaonesha hupendi kumuhudumia mume, unapenda kuishi kama mbuzi kwenye ndoa kwamba unajifanyia utakalo bila kuulizwa. In short hutawaliki!
Wewe mbona una mchepuko kwanini usione unajificha, wewe Fanya umalaya ukitegemea heshima sie wengine tutakuonyesha vzuri mambo yalivoHapo mnapo jichanganya huna hisia nae omba talaka ukaolewe na ulie na hisia nae?
Hujiulizi kwa nini malaya ni mwanamke tu.
Kuna jamaa post za nyuma kanifurahisha sana.Mbaya zaidi wakigundulika wanavyotiaga huruma as if wakati anachepuka alikuwa kichwa chake kamuazima mtu mwingine!
Wote fanyianeni favor uone ka ndoa haijawa nzuri ila kubaki kulaumiana, sio solutionNop, si uvumilivu ila ni right way ya kuishi na mume ndoani sio kama unamfanyia favours!
Sasa hio si mpaka mtu uwe na moyo wa kuvumilia huo upuuzi. Mi kama we ndio chanzo cha mie kuchepuka na nilishakukanya ila ukajitia nunda nakupa na karatasi kabisa ili ukaishi vyema na huyo danga wako.Mbona na nyie hukimbilia kuchepuka eti kisa mke umeshindwa kukaa naye kwa upendo umalize tatizo. Yani na ukiona mke kakimbilia danga umeliwa nyie wanaume huwa hampendi kutusoma wanawake ukimheshimu hata yeye ataona aibu sasa, wewe chepuka lazima ajue mlipizane uone Nani ataumia?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] ningekuwa mke wako ungenifanyaje lohh acheni umalaya mjiheshimu muone ka hamta enjoy life maana mshahara wa dhambi mwajua, pia mwanaume aziniye hovyo ni mjinga na mpumbavuUngekua mke wangu........
Ya nini kushindana si kila mtu ana kwao?Wewe mbona una mchepuko kwanini usione unajificha, wewe Fanya umalaya ukitegemea heshima sie wengine tutakuonyesha vzuri mambo yalivo
Mpaka na ww unatamani.haya mambo ya baadhi ya wanaume wenzetu kuwatafuna mabeki 3 nilikuwaga naona kam fix tu "" tena nilikuwa naona kuwa nikitendo kiovu mnooo kukitenda ...
lakini tangu nikipoingia humu JF NA KUKUTANA NA SHUHUDA MBALI MBALI TOKA KWA VICTIMS ....MIMI MWENYEWE NIMEANZA KUONA KUWA NI HALI YA KAWAIDA ..
AMA KWELI DHAMBI IKIPEWA MJADALA SANA HUGEUKA NA KUWA WEMA ""