Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Hawajagundulika hao, na ukiona hivyo ujue mwanaume aidha yupo weak au ni disminderHyo.ndo dawa ya wanaume mnaojifanya viboro ndinda karma is a bitch tena wengi huchepuka na talaka hawatoi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajagundulika hao, na ukiona hivyo ujue mwanaume aidha yupo weak au ni disminderHyo.ndo dawa ya wanaume mnaojifanya viboro ndinda karma is a bitch tena wengi huchepuka na talaka hawatoi
Ndio labda niwe nachepuka ila kama nimechill unaleta za kipuuzi naku slash kwa fasi![emoji2] [emoji2] [emoji2] huo mda utajua SAA ngapi mana uko na mchepuko na mkeo ukijua anachepuka huwezi mfanya CHOCHOTE mana wewe si.msafi
Na bora usiwe unachrpuka mi MTU anayeniona mjinga na mjanja nitajua tu matokeo yake sasa loh, mi ukaniheshu nakuheshimu kuliko nskukupa daraja LA ufalme ila kukifanya mjanja loh badamu patamwagikaNdio labda niwe nachepuka ila kama nimechill unaleta za kipuuzi naku slash kwa fasi!
Sio hufai mama, hujitumii katika nafasi yako...Kazi yako we ni kunipikia na kunipa mambo sasa iweje nianze kudai papuchi kwa maombi na mizinguo mingi.!? We toa mzigo bila gozi gozi uone kama ntageuka kushoto na kulia. Pika mambo matamu uone! Tatizo kinawaponza kiburi.Yani nyie mtukongoroshe kwa kuwazalia bado mtuone hatufai, miili yetu tuharibu shape zetu na nyonyo zetu kuwanyonyesha nyie na midevu yenu ka Osama kuwanyonyesha, na wanetu, tuwapikie tuwafanyie yote bado mtuone hatufai, pia sikuhizi pia wanawake nao hufanya kazi mbona tena wengine wamewazidi wanaume vipato
Kwahio wewe haikuumi maana unaona sawa kuchepuka tu. Huwezi kupata suluhu maana mind yako ushaitune kuwa mume mkizinnguana kidogo unachepuka tu kuondoa stress. Kweli tuna wanawake waajabu ndoani!Yani niombe wakati ukute una mtu wako anakupenda nakukujali hafu ukute uliingia ndoani basi tu kwanini usifanye au boss wako wasafiri naye umnyime ili iweje. Hafu MTU una uwezo wako kwanini kuhangaika na mume anaye date beki Tatu mi tena ningefurahi kuona mume afanya HVO maana na Mimi nachepuka
Ulishaona wapi mume kabaka mkewe? Hizo elimu zenu zinawapotosha kabisa! Kwani mwanamke kumnyima mumewe ni haki?Sasa hapo siuna mubaka mwenzako [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Hawa ndo wale watu watalalamika jamaa kaua kinyama huu ujeur wai ni baya sana rejea yaliotokea huko wingerezaKwahivyo we unadhani kwa vile unaweza kukamilisha sehemu ya mahitaji yako upo sawa kufanya unavyotaka hata kama ni kinyume na utaratibu?
Sawa mdada, vipi ushawahi kumfuma Baba Watoto?Mie mzoefu wala sio mgeni mkuu chukua darasa hapa
Sasa Mimi kwanini iniume hasa kwa mtu mzima aliyeamua mwenyewe kufanya uzinzi unataka nimkate dyudyu yake si anajifanyia tu akiamua, huku nami natafta kipoozeo changu chenye masilahi mapana . yani mi akinizingua huyo kwa danga languKwahio wewe haikuumi maana unaona sawa kuchepuka tu. Huwezi kupata suluhu maana mind yako ushaitune kuwa mume mkizinnguana kidogo unachepuka tu kuondoa stress. Kweli tuna wanawake waajabu ndoani!
Vere wellNdio labda niwe nachepuka ila kama nimechill unaleta za kipuuzi naku slash kwa fasi!
Wewe mkeo amekwambia hajisikii wewe unamfanya kinguvu huko sikumuonea mwenzako sasa nini maana ya mapenzi sasa, hapo hata haihitaji elimu kubwa kujua ni ubakajiUlishaona wapi mume kabaka mkewe? Hizo elimu zenu zinawapotosha kabisa! Kwani mwanamke kumnyima mumewe ni haki?
Kama huko ndiko mnaita kubakwa, wacha walio wachoyo waendelee kubakwa tu.
Vinginevyo warudi kwa wazazi wao, waahirishe kuolewa.
cariha hawezi kukuelewa mkuu,,, nahisi aliolewa akiwa bado mdogo sana na hajazijua changamoto za ndoa vyema. Ye anaona akichepuka na madanga ndio kumkomoa mumewe ila hajui kama kuna age constraints. Kuna umri ukifika hao madanga hawatamuhitaji tena maana value yake itakuwa ishashuka. Na hapo ndipo atapokumbuka kuwa mume alikuwa ni kitu muhimu kwake. Akili zao huwa zinafikiria umbali wa mkojo wao unapoishia tu.Dawa ni kuwapiga red card uone kama wataolewa na hao wanaume wanaochepuka nao, ukute na umri umeshaenda na papuchi imeshalegea, maziwa yanapiga mbonji tayari, mpaka ayalazimishe kusimama kwa kuyavisha sindiria, nk.
Lkn mwanamume ana uhakika wa kupata chombo kipya kikali, kibichi, titi zinasoma saa 6:00 mchana, na pochi yake inatight vizuri.
Yaani kifupi mwanamke huwezi kushindana na mwanamume, katika uwanja huu. Nature inampendelea mwanamume. Njia sahihi ni kuwa wapole tu.
Mbona watu hufanya hayo yote na bado mnahangaika tu na umalaya wenu hamridhiki hata mfanywejeSio hufai mama, hujitumii katika nafasi yako...Kazi yako we ni kunipikia na kunipa mambo sasa iweje nianze kudai papuchi kwa maombi na mizinguo mingi.!? We toa mzigo bila gozi gozi uone kama ntageuka kushoto na kulia. Pika mambo matamu uone! Tatizo kinawaponza kiburi.
Wewe hawana u weak wowote tuHawajagundulika hao, na ukiona hivyo ujue mwanaume aidha yupo weak au ni disminder
Hii ipo na inatokea ila frequency ya kutokea ndio inayopelekea hali hii ya kumfanyia mtu kibandidu. Lets say kwa mke ambae anakupaga unaridhika unaweza kaa week nzima usimsumbue ila kwa wale anakupa kama kukuonjesha tu. Umeomba game kwa mbinde kakupa kimoja. Kesho ukitaka tena anakuzingua ankutoa mswaki hata week nzima. Aisee mi ntakubali lawama tu!Wewe mkeo amekwambia hajisikii wewe unamfanya kinguvu huko sikumuonea mwenzako sasa nini maana ya mapenzi sasa, hapo hata haihitaji elimu kubwa kujua ni ubakaji
Chombo gani hicho kipya chakupata mama hata nyie vibamia husinyaaDawa ni kuwapiga red card uone kama wataolewa na hao wanaume wanaochepuka nao, ukute na umri umeshaenda na papuchi imeshalegea, maziwa yanapiga mbonji tayari, mpaka ayalazimishe kusimama kwa kuyavisha sindiria, nk.
Lkn mwanamume ana uhakika wa kupata chombo kipya kikali, kibichi, titi zinasoma saa 6:00 mchana, na pochi yake inatight vizuri.
Yaani kifupi mwanamke huwezi kushindana na mwanamume, katika uwanja huu. Nature inampendelea mwanamume. Njia sahihi ni kuwa wapole tu.
Dah cariha mumeo inaonekana anakuzingua sana wengine tuna majanga ila we naona unahasira kinoma yani hahahahah imenibidi nicheke tu sasa dah hahahaha pole sana bibieMbona watu hufanya hayo yote na bado mnahangaika tu na umalaya wenu hamridhiki hata mfanyweje
Basi jamaa ni kolo tu. Atakuwa hajui maana ya kuheshimu mkewe.Wewe hawana u weak wowote tu
Hujampangia chumba father?Mm nimekula beki tatu wangu miaka kama 3 hivi na si kukamatwa, and nlichogundua tu, ni kwamba baada ya kuanza kula beki3, upendo na mke wangu uliongezeka kwani nlimpenda zaidi, pia tukawa hatugombani mara kwa mara maana nlikuwa nawahi kurudi yaan nikitoka tu job narudi home. Maana nlikuwa napenda kuwa karibu na beki tatu wangu. Yaan nlikuwa nikimsikia anacheka, ama anaongea najiskia raha sana. Beki tatu hasumbui ukitaka mzigo yaan anytime, anywhere, in short unapewa hata mara tatu kwa siku. Njia kuu usumbufu mtupu. Kaondoka beki3 wangu saiz kurudi hom mpaka giza liingie
Na cha kushangaza wife na beki3 walikuwa marafiki kinyama yaan wanapendana balaa