Wanaume mliowahi kutongozwa na wadada/wanawake mlipokeaje mtongozo huo?

Wanaume mliowahi kutongozwa na wadada/wanawake mlipokeaje mtongozo huo?

Pure_sapiens

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2016
Posts
2,228
Reaction score
2,064
Niende kwenye mada.

Unajuwa mila na desturi zetu za ki Afrika ni mara chache sana kwa jinsia ya kike kumwambia mwanaume kama anampenda.Mara nyingi mwanaume ndio tunao anza kuwatongoza hawa viumbe wa kike,lakini kuna wakati hali inakuwa tofauti kabisa kuna wanawake uvumilivu unawashinda hivyo huamua kufunguka.

Kwa upande wangu hadi kufikia umri wangu huu nimewahi kutongozwa na wanawake tofauti mara nyingi sana sikumbuki idadi.Mtaani kwetu kuna wasichana wengi wamefunguka kwangu kuwa wananipenda lakini hali ilizidi kuwa ngumu kwa wadada nilipofika sekondari pia.

Wanawake wengi wananipenda wanadai mimi ni handsome boy.Huwa wanashindwa kuvumilia hivyo huamua kufunguka.

Sijawahi kukataa mwanamke akinitongoza huwa nawakubali na kula matunda yao hata kama sina hisia nae.Mwanaume rijali hachagui tunda kama lipo fresh.

Je,wewe umewahi kutongozwa na hawa viumbe wa kike, ulijisikia vipi?
Je, wewe m dada uliwahi kumtongoza men?
 
Walishasema maendeleo hayana chama kila mtu ana haki.

Nahisi Itakuwa haujui kutongoza mkuu
 
kama vile nakuona ulivyokuwa unang'ata-ng'ata kucha.
 
Nawaulizaga kama wana nia ya dhati namimi au wanataka kunichezea tu??Coz kuna ma'manzi wengine nia yao ni kukuchezea tu wanasololoa mokomoko by ngoko ivi..
Hahhahaah kilichonichekesha ni wanasololoa mokomoko by ngoko pamoja kuwa sijaelewa maana yake

Kwahiyo na ww unaogopa kuchezewa[emoji1787]
 
Wanawake wengi hawana confidence ya Kumtongoza Mwanaume, Wengine Wanajitahidi Kuonyesha ishara akiona hauna Muda nae anaanza Kuleta Visa.. Kuna lecture Mmoja pale Udsm alikuwa ananitaka Kimapenzi Ila Mimi nikampotezea maana halikuwa Mke wa Mtu, baada ya Kuona nimempotezea akaanza Kuniletea Visa na Mikasa na Kunizushia majanga Kibao. Mwanamke akikutongoza alafu ukamkataa jiandae Kupokea Upinzani Mkali hawakubaligi Kushindwa Kilahisi ..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake wengi hawana confidence ya Kumtongoza Mwanaume, Wengine Wanajitahidi Kuonyesha ishara akiona hauna Muda nae anaanza Kuleta Visa.. Kuna lecture Mmoja pale Udsm alikuwa ananitaka Kimapenzi Ila Mimi nikampotezea maana halikuwa Mke wa Mtu, baada ya Kuona nimempotezea akaanza Kuniletea Visa na Mikasa na Kunizushia majanga Kibao. Mwanamke akikutongoza alafu ukamkataa jiandae Kupokea Upinzani Mkali hawakubaligi Kushindwa Kilahisi ..

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakiwa wanataka kusawazisha goli ,ukijichanganya unajiweka😂😂😂
 
Back
Top Bottom