lukubuzo Samsis
JF-Expert Member
- Nov 3, 2014
- 2,920
- 3,388
Umesoma udsm na hujui tofauti ya lecture na lecturer?unatia aibu chuo chetu cha taifa.msemaji wa wakulungwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanawake wengi hawana confidence ya Kumtongoza Mwanaume, Wengine Wanajitahidi Kuonyesha ishara akiona hauna Muda nae anaanza Kuleta Visa.. Kuna lecture Mmoja pale Udsm alikuwa ananitaka Kimapenzi Ila Mimi nikampotezea maana halikuwa Mke wa Mtu, baada ya Kuona nimempotezea akaanza Kuniletea Visa na Mikasa na Kunizushia majanga Kibao. Mwanamke akikutongoza alafu ukamkataa jiandae Kupokea Upinzani Mkali hawakubaligi Kushindwa Kilahisi ..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app