Wanaume mliowahi kutongozwa na wadada/wanawake mlipokeaje mtongozo huo?

Umesoma udsm na hujui tofauti ya lecture na lecturer?unatia aibu chuo chetu cha taifa.msemaji wa wakulungwa!
Sent using Jamii Forums mobile app
 
ishawai kunitokea zaidi ya mara moja, naonaga maajabu tu yaani huwa sielewi na sijawai kuilewa na sijawai kudate mwanamke aliyenitongoza.. ni bora anionyeshere ishara af nijiongeze (kama nimemwelewa kimya kimya) na hii imewahi kunitokea. kumkubalia naonaga kama na fake ivi, kwanza nikikubali mwanamke akintongoza kwanza technicalities za kudate ata handle yeye au yaan io motivation sina. so dahh sijawai, sifikirii na haitokuja kutokea ku date na mtu ambae ananipa sound zote..
 
Duuh asee
 
Hahaha
 
Duuh asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…