Wanaume mna nini lakini?

Wanaume mna nini lakini?

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
WANAUME MNA NINI LAKINI ?
▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂

Nina umri wa miaka 24 Nina mtoto mmoja baba wa huyu mtoto wangu nilikuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka kama mitatu hivi.

Ni mwanaume ambaye nilimpenda kweli mpka nikawa namsaidia akiwa na changamoto kipindi hicho nilikuwa chuo wakati tunaanza mahusiano japo yeye hakuwa mwanachuo na alikuwa mkoa mwingine tofauti na nilipokuwa nasomea, na mimi nilikuwa na malengo yangu ya kukusanya mtaji nikawa nabana mkopo wangu sasa alipojua tu nimeweka akiba akaanza kama kunikopa ili anirudishie ila hajawahi kurudisha ikifika muda tuliokubaliana kurudisha analalamika changamoto nikawa namwonea huruma nikaacha kumdai akawa ananiambia mimi ndo mke wake kwahiyo hata tukifanya vitu kwa pamoja haina shida maana ni kwa ajili yetu badae na watoto wetu.

Alikuwa mwanaume wangu wa kwanza ila hajatulia kabisa mara nyingi nakuta SMS zinazoonyesha ana mahusiano mengine na siyo mwanamke mmoja ni wengi tu, nikimuuliza anakana hata kama ushahidi upo hapo hakubali kama ana mahusiano mengine na kila nikisema niachane naye nilikuwa nashindwa mpaka nilipopata ujauzito wa huyu mtoto matukio yalizidi kwanza alipunguza mawasiliano akawa anadai yuko bize hana muda na mimi.

Nilipojifungua akaanza kujirudi sasa kumbe kuna mwanamke mwingine tena ana mimba yake nilipomuuliza akaniambia mwanamke alimtegeshea lakini yeye hana malengo naye.

Mie nilimwambia tuachane nimechoka kuumia kila mara hataki kusikia hicho saivi kaanza kunyenyekea anasema hawezi kuishi bila mimi ila simuamini hata kidogo maan ni muongo sana ni mtu mwenye ahadi nyingi ila hajawahi kutimiza hata moja.

Mtoto anahudumia pale anapoweza ila ni kama vile hajali nikimwambia mtoto anaumwa atasema tu pole na hana tabia ya kusema ngoja niulizie huyu mtoto anaendeleaje hauliziagi alafu anadai bado ananipenda na anataka kunioa.

Hivi hapo kuna upendo kweli ??
 
Mimi naona kama anakupenda sema maisha na ujana bado vina mchanganya ila kikubwa kama anahudumia mtoto ni vizuri zaidi vijana wengi wasikuhizi wanakimbia kabisa majukumu baada ya mwenza kupata ujauzito au mtoto.
 
WANAUME MNA NINI LAKINI ?
▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂

Nina umri wa miaka 24 Nina mtoto mmoja baba wa huyu mtoto wangu nilikuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka kama mitatu hivi.

Ni mwanaume ambaye nilimpenda kweli mpka nikawa namsaidia akiwa na changamoto kipindi hicho nilikuwa chuo wakati tunaanza mahusiano japo yeye hakuwa mwanachuo na alikuwa mkoa mwingine tofauti na nilipokuwa nasomea, na mimi nilikuwa na malengo yangu ya kukusanya mtaji nikawa nabana mkopo wangu sasa alipojua tu nimeweka akiba akaanza kama kunikopa ili anirudishie ila hajawahi kurudisha ikifika muda tuliokubaliana kurudisha analalamika changamoto nikawa namwonea huruma nikaacha kumdai akawa ananiambia mimi ndo mke wake kwahiyo hata tukifanya vitu kwa pamoja haina shida maana ni kwa ajili yetu badae na watoto wetu.

Alikuwa mwanaume wangu wa kwanza ila hajatulia kabisa mara nyingi nakuta SMS zinazoonyesha ana mahusiano mengine na siyo mwanamke mmoja ni wengi tu, nikimuuliza anakana hata kama ushahidi upo hapo hakubali kama ana mahusiano mengine na kila nikisema niachane naye nilikuwa nashindwa mpaka nilipopata ujauzito wa huyu mtoto matukio yalizidi kwanza alipunguza mawasiliano akawa anadai yuko bize hana muda na mimi.

Nilipojifungua akaanza kujirudi sasa kumbe kuna mwanamke mwingine tena ana mimba yake nilipomuuliza akaniambia mwanamke alimtegeshea lakini yeye hana malengo naye.

Mie nilimwambia tuachane nimechoka kuumia kila mara hataki kusikia hicho saivi kaanza kunyenyekea anasema hawezi kuishi bila mimi ila simuamini hata kidogo maan ni muongo sana ni mtu mwenye ahadi nyingi ila hajawahi kutimiza hata moja.

Mtoto anahudumia pale anapoweza ila ni kama vile hajali nikimwambia mtoto anaumwa atasema tu pole na hana tabia ya kusema ngoja niulizie huyu mtoto anaendeleaje hauliziagi alafu anadai bado ananipenda na anataka kunioa.

Hivi hapo kuna upendo kweli ??
Mmh!
Uamuzi unao wewe mwenyewe.
Akili zako ndio Mahakama yako.
 
WANAUME MNA NINI LAKINI ?
▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂▂

Nina umri wa miaka 24 Nina mtoto mmoja baba wa huyu mtoto wangu nilikuwa naye kwenye mahusiano kwa miaka kama mitatu hivi.

Ni mwanaume ambaye nilimpenda kweli mpka nikawa namsaidia akiwa na changamoto kipindi hicho nilikuwa chuo wakati tunaanza mahusiano japo yeye hakuwa mwanachuo na alikuwa mkoa mwingine tofauti na nilipokuwa nasomea, na mimi nilikuwa na malengo yangu ya kukusanya mtaji nikawa nabana mkopo wangu sasa alipojua tu nimeweka akiba akaanza kama kunikopa ili anirudishie ila hajawahi kurudisha ikifika muda tuliokubaliana kurudisha analalamika changamoto nikawa namwonea huruma nikaacha kumdai akawa ananiambia mimi ndo mke wake kwahiyo hata tukifanya vitu kwa pamoja haina shida maana ni kwa ajili yetu badae na watoto wetu.

Alikuwa mwanaume wangu wa kwanza ila hajatulia kabisa mara nyingi nakuta SMS zinazoonyesha ana mahusiano mengine na siyo mwanamke mmoja ni wengi tu, nikimuuliza anakana hata kama ushahidi upo hapo hakubali kama ana mahusiano mengine na kila nikisema niachane naye nilikuwa nashindwa mpaka nilipopata ujauzito wa huyu mtoto matukio yalizidi kwanza alipunguza mawasiliano akawa anadai yuko bize hana muda na mimi.

Nilipojifungua akaanza kujirudi sasa kumbe kuna mwanamke mwingine tena ana mimba yake nilipomuuliza akaniambia mwanamke alimtegeshea lakini yeye hana malengo naye.

Mie nilimwambia tuachane nimechoka kuumia kila mara hataki kusikia hicho saivi kaanza kunyenyekea anasema hawezi kuishi bila mimi ila simuamini hata kidogo maan ni muongo sana ni mtu mwenye ahadi nyingi ila hajawahi kutimiza hata moja.

Mtoto anahudumia pale anapoweza ila ni kama vile hajali nikimwambia mtoto anaumwa atasema tu pole na hana tabia ya kusema ngoja niulizie huyu mtoto anaendeleaje hauliziagi alafu anadai bado ananipenda na anataka kunioa.

Hivi hapo kuna upendo kweli ??
Unataka tukushauri hapo upendo upo na wewe muhusika huuoni??? Nikikwambia mvumilie tu yatapita tu, anayeteseka na hayo mapito ni mimi au wewe???
Tafsiri yake ni kuwa maamuzi ya kila unalopitia unayo wewe labda kama unataka sisi tukudanganye.....
Halafu siku nyingine usitujumuishe wanaume wote kwenye upuuzi kama huu
 
Namuhurumia huyo kiumbe aliyezaliwa na wazazi wasio elewana,

Wewe huna wazazi? Huna ndugu zako? Familia yako haipo? Huyo Mwanaume nae hana wazazi?

Hii issue sio ya kupata ushauri kwenye social media coz huku hatuna full details kuwahusu nyie,hii issue ipeleke kwa wazazi wako,watu wakubwa wenye kuwajua,

Hope huko utapata solution ya nini cha kufanya,

Take care of ur Kid.
 
Mbona ID yako na ulichoandika hakiendani?

Una-date na mvulana.
 
Wewe ndo mwenye matatizo badala ya kuweka maslahi ya mtoto mbele wewe umetanguliza tamaa zako
 
watoto wa 2000 mna haraka sana na maisha
Miaka 24 na kuzaa na stress za mapenzi juu😅
 
Tuliza kichwa vizuri andika changamoto na faida unazopata kupitia mahusiano hayo ya sasa upande wenye asilimia kubwa ndo uendelee nao
 
Wanaume tukutane kikao cha dharula tupeane points ili tuwe na msimamo wa pamoja.
 
Back
Top Bottom