Hahaha, heshima mkuuYupo kwa Mbaba asubuhi hii, jasho la mtu haliliwi bure
Mmmh ,umeniona wapi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Nimekukumbuka.
Asee uko vzr ktk walletHahahahahahaa. Jana nimekunywa Moet na Heineken mdogo wangu. Mjini vinywaji hivyo vinauzwa wapi?
Oooh OK ,vzrNimekuona kwenye uzi.
Jamani ukomi kudanga mzigua90 wee...!Huyu baba hapa amelala anatoa ndoto zote ila akilini kwake anajua tunaondoka wote. Tatizo ana ushamba mie sinao maana amezoea wanawake wanaokaa nao wanakuja kuwadanga. Sasa mtu mwenyewe hata hela ya kulipa bill hana halafu anashoboka na mimi.
Wanaume tafuteni hela mtumie msitie aibu wakati wa kulipa Bill.
SAA nane ,mtoto wa kike uko bar halafu j4 ,huo mji kweli una wenyeweAcha tu. Nimeondoka saa 8.
Njoo uwe mke mwenza kwa mama T..! Shida itakuja kuombana pesa badala ya kutafuta pesa.Ukinioa ntaacha kudanga [emoji23]
Dar mnakula bata,vyuma kumbe havijakazaCha ajabu nini sasa?