Wanaume mnaboa mnaomba sana pesa

Ulishindwa kuamchana, ila mim najua na wew unalipendeamo sana hilo boya lako,
Ndo hujalichana

So kipenda roho hula nyama mbich
Bor tunyimane tu mwanmme kuomba hela ni aibu
 
Wewe nae umerudi na upuuzo wako, shenzi type..!
 
Ndio umeamua kunianika huku....

hata hela yako bado sijaila..

Haya nikurudishie hela yako kwa namba ipi???😎😎😎
 
Ulikuwa umefichwa sasa mapenzi yameisha naona umerudi kijiweni! Ukipata buzi jengine utapotea kama kawaida yako
 
hongereni sana wanawake wa JF mnaonekana mna mahela sana duuuuuh

maana thread za kulalamika kuombwa hela zimekuwa nyingi sana
 
Na nyie mpunguze kutuomba pesa mkiwa na hali kama hiyo!!!
 
aaaaah insta babe ww upo vizur sanaaaaa.. yale matrip ya south sio ya kitoto ujue
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mxxiuuu trip my foot namlaumu sana huyo unayenifananisha nae hajui tu anavyozidi kuniharibia passport yenyewe sina nikisafiri nipo tanga kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…