Wanaume mnaboa mnaomba sana pesa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mxxiuuu trip my foot namlaumu sana huyo unayenifananisha nae hajui tu anavyozidi kuniharibia passport yenyewe sina nikisafiri nipo tanga kwetu
hahahah insta babe yani me kila nikianza kuamini yule siyo ww nikiangalia hii avatar kuna karoho kanasema ndio huyuuu huyuuuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
hahahah insta babe yani me kila nikianza kuamini yule siyo ww nikiangalia hii avatar kuna karoho kanasema ndio huyuuu huyuuuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahahah akiii sio mm insta kwenyewe sipogo mie nimefunga mda acc yangu hivi mwisho wa siku insta baby unataka tukimbiane eenh naona ndio lengo lako
 
Uwe na adabu pumbav..sio wanaume wote wako hivyo ...kama umeombwa pesa be specific umtaje na jina lake na anapoishi sio unafanya jumla wengine tuna heshima zetu shika adabu
 
Uwe na adabu pumbav..sio wanaume wote wako hivyo ...kama umeombwa pesa be specific umtaje na jina lake na anapoishi sio unafanya jumla wengine tuna heshima zetu shika adabu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahahahah akiii sio mm insta kwenyewe sipogo mie nimefunga mda acc yangu hivi mwisho wa siku insta baby unataka tukimbiane eenh naona ndio lengo lako
hahahahah.... naanzaje kukukimbia insta babe akati me nikiona mgongo tu naweza kujua hadi front pakoje πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
njoo ukae na mimi.ujue tunaenda sawa na sera ya viwanda kuelekea korosho 2020.uje utoe huzi mwengine.shabasiii
 
mm ni mbaya alafu hapohapo unaniomba hela mxeeew

Hio ndio sababu unaombwa pesa coz ungekuwa mzuri ungehongwa...so Jamaa kafuata papuchi tu na hela coz wewe humvutii zinamvutia pesa zako...

Kibao kimegeuka siku hizi heheheh wanaume wa Dar shikilieni hapohapo
 
Hato kujibu quote yako
Hio ndio sababu unaombwa pesa coz ungekuwa mzuri ungehongwa...so Jamaa kafuata papuchi tu na hela coz wewe humvutii zinamvutia pesa zako...

Kibao kimegeuka siku hizi heheheh wanaume wa Dar shikilieni hapohapo
 
Bina naomba ninubulie Jack Daniels nifungue weekend
 
Sio wanaume. Sema mwanaume wako wa dar. Wengine hatuombi tunatoa tu pesa.
Uwe unatofautisha kati ya kijimwanaume chako na wanaume wengine, kama amekupiga mizinga usije ukachafua wote
 
Nakuona demiss the boss lady!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…