Wanaume mnajidanganya kwa hili

Ulichoandika hapo inaonesha bado hujaridhika na uliyenaye...kama umeridhika na huyo anayekufikisha huko kibo na mawenzi hutakiwi kubabaishwa na mwanaume mwingine sababu ya pesa

Kama pesa kwanini msitafute kihalali wewe na huyo bwana ako?
Unaakili jonnah
 
Nafikiri unataka kupata mawazo yeti yupi kati ya mwenye pesa ambaye hayuko vizuri na asiye na pesa lkn yuko vizuri kitandani. Kwa maana maelezo yako sijajua uko upande gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwandishi mwenyewe hajui alichokiandika halafu kuna mtu mmoja hapo anataka kuwafahamu wanawake. Endelea tu, mochwari huwa hakujai
 
Wanawake tuna mambo!!
matokeo yake mtu unakabidhiwa mtoto ambaye si damu yake: kwa dunia ya sasa hivi huwezi tenganisha pesa na mapenzi, hivi vitu vinaendana pamoja" kama upo chumbuni vizuri basi hakikisha na pesa hazikupigi chenga ili kuwa na sustainable love kati yako na mkeo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…