Akitaka nitoke nduki fasta basi anipige kalenda.......kikawaida sina pumzi za kufuatilia jibu kwa msichana daily.
Kwani kuna kutongoza siku hizi?? Naomba mnifundishe mimi nimeshasahau, maana mara ya mwisho sikumbuki nilitongoza lini!!!! Lol!
Mimi kama mwanaJF sioni tatizo, tatizo liko kwenye mfumo dume. Kwa nini aonekane mwanamke tu malaya kwa kutongozwa au kutongoza?...mwanamke umemtongoza anakubali ataonekana kama malaya. Je wewe mwanjf unaonaje kwa mwanamke kutongozwa siku hiyo hiyo na kukubali ?
Hiyo imetulia kukubaliwa siku hiyohiyo sio kuwa mwanamke kicheche bali ni utashi wa muombaji na mwombaji
Hamjambo wanajf .hivi jamani wanaume wenzangu ni sawa kwa mwanamke kumtongoza siku ya kwanza na anakubali siku hiyo hiyo. Mimi ninavyojua kwa kawaida mwanamke anatakiwa amsumbue kidogo mwanaume wala si siku hiyo hiyo mwanamke umemtongoza anakubali ataonekana kama malaya. Je wewe mwanjf unaonaje kwa mwanamke kutongozwa siku hiyo hiyo na kukubali ?
Mnaongelea kutongozana kati ya mwanamke na mwanaume au mvulana na msichana,nahisi hii imekaa kwa kivulana na kisichana zaidi,
Nijuavo mm kwa mwanaume hawezi kukuona mda huo na kukutongoza mda huo huo labda km ni mvulana,
Wanaume wanachofanya atataka urafiki,contact then mtakuwa marafiki akikusoma taratibu kujua km uko kwenye position ya kutongozwa na kumkubalia,
Wanapoguandua uko single ndio anaweza kukupa outing na mkaanza kudate na huko kwenye dating ndio atakutafutia siku atakwambia lake la moyon na mara nyingi hawatakagi kujibiwa pale pale huruhusu kujibiwa wakati wowote mwanamke anapokuwa tayari,
Hapo mwanamke kulingana na namna naye alivokuwa akimuona jamaa na kumsoma kiustarabu hata baada ya kutoka pale hutoa jibu kwa cm au kutoa sms na manpen huanzia hapo na kuendelea,
Ila nikikutana na mtu simjui akanitongoza hapo hapo na anataka jibu hapo sitamkubalia kwan kakosa ustarabu,kaniona niko pale kumsubiri yoyote anitongoze,inshort huwa nawaona ni watumiaji tu na hawana mapnz kbs.
wazoefu wanasema kuwa mke wa mtu mara nyingi anakubali siku hiyo na ukiweza waweza kumpata siku hiyo hiyo. Mschana ambaye hajaolewa ni vigumu sana
msichana anizungushe kwani ninatafuta dhahabu kwake? Atazunguka mwenyewe hadi apate kizunguzungu. Huo ushamba wa kupigwa tarehe huku wanaume wengine wanakula mzigo sina. Akinipiga tarehe tu hanioni tena. Kawaida ninataka mwanamke mwenye ujasiri wa kuniambia ndiyo au havana
Akitaka nitoke nduki fasta basi anipige kalenda.......kikawaida sina pumzi za kufuatilia jibu kwa msichana daily.
Mkuu angalia tarehe ya Leo inasemaje, Leo ni 25/1/2012 mkuu, sio mwaka 1947! Hao madem wa hivyo unaotaka wewe species zao zilishapotea duniani. Kuwatafuta madem Kama hao ni sawa na kumtafuta DINNOSAUR!