Wanaume Mnakwama Wapi? Yaani Dakika 3, Chali

Wakati mwingine wala hatukwami ! Kama wewe ulipokea hela kwa kutimiza shida, mimi nakojoa hata ndani ya dakika moja mmoja kwa starehe zangu. Sasa wewe unataka hela, halafu nipoteze na nguvu zangu kukausha ngege zako ili iweje?
 
Mabaharia tulishakubaliana kwenye kile kikao chetu cha mwisho pale Bar,

Kwamba pambana ukojoe, ye asipokojoa kabla yako atakojoa njiani wakati anaenda kwao[emoji350][emoji350][emoji350] tumeelewana??

Kama alivyofanya mwenzetu hapo juu

[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322]
 
Umeshagundua tatizo katika hao wawili utamsaidia yupi?
 
Leo utakuwa free nije nimsabahi bibi ?
 
Hii issue inaendana na vitu vingi mood na utayar wa mwili na akili kuna siku utacheza chini ya kiwango kuna siku utakuwa kawaida na pia kuna siku utakuwa wa ajabu yaani utatomba mpaka papuchi yote itakuogopa ni kawaida
 
Halafu wewe Dick Monga mpenzi wangu babia ya kuondoka nyumbani na kwenda kulala kwa mashoga si nilisha kukataza ? Hivi mm kwenda Dodom kikazi kwa wiki 2 tu tayari unaona kitanda nyumbani kama kina miiba. Mimi sikuwahi kukwambia kupenda kulala na wanawake wenzako kitanda kimoja kuna siku watakuja kukusaga? Haya sasa umeona kilichokupata? Nyumba yenywewe ya shoga dari haina.....miguno ikakupandisha ngenye je shoga angetumia mwanya huo ingekuwaje?

Dick Monga mpenzi wangu nisikize.....mm huwa natokwa machozi kwa jinsi unavyonifanyia tena mara kadhaa bila kunitaarifu....Nilishakwambia nakupenda sana hapa duniani haijawahi tokea kumpenda mwanamke kama nikupendavyo. Kwa upande wangu kisima huwa nachimba vizuri na maji tunapata ya kutosha sasa shida ni nn mpenzi kwenda kulala majumbani kwa watu na kujikosesha usingizi hivyo? Nakuonya kimahaba la azizi acha ushoga shogani usio na mpango.

leo hii hii ninachukua usafiri fast kurudi Dar kuja kukuliwaza mahabubu kwa masaibu yaliyokukuta.

Pole sana.....Nakupenda hadi pumzi inakata mpenzi!
 
Wanaune wa dar wanatudhalilisha sisi wa mikoani.

Sisi wengine dame akiingia anga zetu tena kama ni mke wa mtu basi anaweza akaenda kuomba talaka kwa mume wake siku hiyohiyo.
 
Mwanamke hakomolewi, huwezi kushindana na ulipotoka, hata umfanye lisaa lizima bado atataka tena. Mwanaume utamu anao mwenyewe kwenu tunafata utelezi tu
 
We unadhani kitumbua kina utamu, utamu upo kwetu wenyewe tunavyotoa wazungu...nyie ni kama nyenzo ya kufanikisha hilo
Siku moja nilipiga kama dakika 50 hivi sijamwaga hata tone hadi manzi akakauka akaniwekea alarm dakika kumi zijazo nisipomwaga nimuache aondoke.
Zikafika nikiwa sijamwaga akaondoka baada ya hapo nilihisi sijafanya chochote tangu siku hiyo nikaamini utamu wa mgegedo kwa mwanaume ni kumwaga tu
 
Kupiga saa nzima na umwagi Ni ujinga ulio kubuhu, na michubuko juu , na kupeana maumivu zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lipia tangazo.Inapaswa mh Melo apate mapato pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…