The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Ila wanaume mna limits za kingese
Shida ya vicoba ni ipi
Shida vipo Mjini!Ila wanaume mna limits za kingese
Shida ya vicoba ni ipi
Si ununue ya blue?Huoni kama unachochea dhambi ya usengenyaji?😅😅Mimi wajomba zangu wanacheza sana vikoba na sasa kuna tabia mpya naziona kwao hasa umbea na kufuatilia mambo yasiyowahusu kabisa .
Eti mmoja aliniuliza mbona napenda kuvaa suruali nyeusi mara kwa mara.? [emoji848]
Asijue mwenzake ninazo mbili tu nikibadili natinga nyingine maisha yanaenda.
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Vicoba=Village Community BankShida vipo Mjini!
Miaka ya tisini ipi na wapi?Chimbuko la Vicoba ni wanawake wanaotunzana tunzana especially kwenye sherehe sherehe hii Dar imekuepo tangu miaka ya 90' huko Ila washiriki wake ni wanawake wanaume wamevamia tu baada Mambo kubana inabidi utumbukie popote mradi kuna unafuu
Tafsiri ya VICOBA..Village Community Bank....haina jinsia pia imewainua watu.....Nawaza Hapa,
1. Hivi mwanaume unapata wapi ujasili kucheza kikoba Kama wanawake? Lengo lako Ni Nini hasa? Unajiskiaje kwa mfano.
2. Tena wengine utashangaa kabisa, anakuaga hadharani mwanaume mwenzie kua Anaenda kwenye kikoba! Unabaki unamwangalia Mara mbili mbili humpatii picha.
3. Hivi wanaume wanaocheza vikoba, nao upitia Changamoto kama hizi wanazopitia dada zetu na mama zetu ktk kusaka pesa za marejesho ya vikoba kila baada ya siku kadhaa za wiki au mwezi?
View attachment 2742195
Sema baadhi ya.........na ndio maana wengine ni wa.........nge.Ila wanaume mna limits za kingese
Shida ya vicoba ni ipi
VICOBA ikikua inakua SaCoss... watu wa bank wenyewe wanatafuta ViCoba ili wamwage pesaNawaza Hapa,
1. Hivi mwanaume unapata wapi ujasili kucheza kikoba Kama wanawake? Lengo lako Ni Nini hasa? Unajiskiaje kwa mfano.
2. Tena wengine utashangaa kabisa, anakuaga hadharani mwanaume mwenzie kua Anaenda kwenye kikoba! Unabaki unamwangalia Mara mbili mbili humpatii picha.
3. Hivi wanaume wanaocheza vikoba, nao upitia Changamoto kama hizi wanazopitia dada zetu na mama zetu ktk kusaka pesa za marejesho ya vikoba kila baada ya siku kadhaa za wiki au mwezi?
View attachment 2742195
Theme ya vikoba ni ipi?Nawaza Hapa,
1. Hivi mwanaume unapata wapi ujasili kucheza kikoba Kama wanawake? Lengo lako Ni Nini hasa? Unajiskiaje kwa mfano.
2. Tena wengine utashangaa kabisa, anakuaga hadharani mwanaume mwenzie kua Anaenda kwenye kikoba! Unabaki unamwangalia Mara mbili mbili humpatii picha.
3. Hivi wanaume wanaocheza vikoba, nao upitia Changamoto kama hizi wanazopitia dada zetu na mama zetu ktk kusaka pesa za marejesho ya vikoba kila baada ya siku kadhaa za wiki au mwezi?
View attachment 2742195
Sasa dume zima umezungukwa na wamama na madera yaoNa bank zinavyopiga mnada Nyumba zenu siyo aibu?
Sawa tajiri wa JF...Sasa dume zima umezungukwa na wamama na madera yao
Mnajadili pesa, ambaye mwenzenu hajaletwa mkamfate kwake mkamsute
Na wewe upo eti umoja
Unashindwa wavulana dar nani kawaroga hadi muwaze utajiri upo kwenye vicoba
Kumbafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio Michezo ya 'Upatu' imeanza miaka hio mwishoni mwa 80' mwanzoni mwa 90', kilichofanyika ni modifications tu ndio ikaleta neno 'Vicoba' (Village Community Bank) na hio Vicoba ikafanyiwa modifications nayo pia ikaleta 'Saccos' (Savings and Credit Cooperative Societies) Ila washiriki waanzirishi ni Wanawake sio wanaume tena wamekua wakifanya hivyo ili kusaidiana kwenye changamoto mbalimbali zinazowakabiri, wewe mtoto wa 2000 utaelewa nini una miaka 23' mpaka sasa bado una mengi ya kujifunzaMiaka ya tisini ipi na wapi?
Ktk upambanaji kila kitu kinaweza kuwa siraha. Tuache dharau tukishapata vijisenti kidogo na kuona wenzetu hawapambani.
Huna akili.Sasa dume zima umezungukwa na wamama na madera yao
Mnajadili pesa, ambaye mwenzenu hajaletwa mkamfate kwake mkamsute
Na wewe upo eti umoja
Unashindwa wavulana dar nani kawaroga hadi muwaze utajiri upo kwenye vicoba
Kumbafu
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe si utachangua wengine wapate hizo milion 15We endelea kuviponda Vicoba vyetu wakati mwezi ujao naenda kupokea milioni 15 zangu, baada ya kuvunja [emoji847]
Maisha ni kuchagua [emoji123]