Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo na kuhongwa unataka ! Si mtuhonge nyie sasa ilituconcentrate kwenye hayo mambo ![emoji57]Ndo ivo
hahahaaahaaa.... nakusoma wajinaa... hapa damu itamwagika leo.Mbona maneno makali hivi?
[emoji38] [emoji38] kumbe na ww unaukumbuka ule uzi[emoji23] [emoji23]Kuna mdau mmoja alinifurahisha sana resolution yake mwaka huu ni kugusa tu akimaliza ,umeridhika ,hauja ridhika utajua mwenyewe
Tumegee hiyo siri sana, mbona sijaona kitu?? kama unataka kuridhishwa nenda kampe mtu hela, nikikupa mimi hela ujue nataka kujiridhisha mimi, kama ndani ya dk tano nitaridhika, nakuacha na genye zako ukatafute wa kuku-denyegerize!Kama kichwa cha habari kinavyosema kama kuku vile.Wanaume wa type hii mnatuchosha ngoja tu niwamegee siri yani unakuta dakika 10 nyingi umeshamaliza, hivi mko serious kweli?
Na akichepuka usilete lawama maana unamuacha mtoto wa watu juu juu na muwasho akunwe na nani aisee hebu tafuteni solution ya hii kitu.
Sijui ni vyakula mnavyokula au ni uvivu wengi wenu zero kabisa hahaha basi kuna watu wataguswa sana na hii kitu, you can call me names and whatever ila kaujumbe kamefika.
Jumapili njema.
Anakukuna ulienae au nae nikama hao unao walalamikia? njoo uone kazi!!!!!!!!!!!!! haaa haa, natania ila nikero kwa kweli!!!!!!!!!!!Kama kichwa cha habari kinavyosema kama kuku vile.Wanaume wa type hii mnatuchosha ngoja tu niwamegee siri yani unakuta dakika 10 nyingi umeshamaliza, hivi mko serious kweli?
Na akichepuka usilete lawama maana unamuacha mtoto wa watu juu juu na muwasho akunwe na nani aisee hebu tafuteni solution ya hii kitu.
Sijui ni vyakula mnavyokula au ni uvivu wengi wenu zero kabisa hahaha basi kuna watu wataguswa sana na hii kitu, you can call me names and whatever ila kaujumbe kamefika.
Jumapili njema.