Dyf
Senior Member
- Feb 2, 2016
- 185
- 150
Huo ndio mpangooo hapana jichoshaKuna mdau mmoja alinifurahisha sana resolution yake mwaka huu ni kugusa tu akimaliza ,umeridhika ,hauja ridhika utajua mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ndio mpangooo hapana jichoshaKuna mdau mmoja alinifurahisha sana resolution yake mwaka huu ni kugusa tu akimaliza ,umeridhika ,hauja ridhika utajua mwenyewe
Hahahahaaa..!! Kweli aseme mapema tuwe tunaingiza na mafuta ya taa humoAu itakua na rust nini?
Gusa Unate !!!kama kichwa cha habari kinavyosema kama kuku vile....wanaume wa type hii mnatuchosha ngoja tu niwamegee siri..yani unakuta dakika 10 nyingi umeshamaliza, hivi mko serious kweli? na akichepuka usilete lawama maana unamuacha mtoto wa watu juu juu na muwasho akunwe na nani
aisee hebu tafuteni solution ya hii kitu, sijui ni vyakula mnavyokula au ni uvivu wengi wenu zero kabisa
hahaha basi kuna watu wataguswa sana na hii kitu, you can call me names and whatever ila kaujumbe kamefika
jumapili njema....
No number one Ikigoma Jaribu number 2 Over.Ww unapenda ufanywaje uone kweli jamaa kashughulika?!...saa nyingine u av to talk to him umwambia nn unataka
ingekuwa unaweza kujua kwa kuona mbona kusingekuwa na malalamiko...tatizo mpaka uonjeUsiwalaumu, kama mtu uwezo wake ni kuendesha Carina kwanini unamlazimisha andeshe Fuso? Wewe tafuta njemba atae kutafuna masaa mawili na waache hao watufute wenzao wa dk 10.
Unapenda kusuguliwaaaahahahhaa ,inaudhi hiyo,mtu anaingiza dakika mbili tu kamaliza,bora niwe single kuliko mwanaume wa hivi,
Bao la pili kama mtu anawahi hivyo basi kuna tatizo hapo....mpeleke kwa watalaaamna la pili na la tatu nakwambia kuna watu ni majanga....
nipo hapa nicheki..Namuomba huyo aliyefikisha dakika kumi.
Ni majipu dadaangu.