KIKOSIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 2,219
- 1,146
Kama kichwa cha habari kinavyosema kama kuku vile.
Wanaume wa type hii mnatuchosha ngoja tu niwamegee siri yani unakuta dakika 10 nyingi umeshamaliza, hivi mko serious kweli?
Na akichepuka usilete lawama maana unamuacha mtoto wa watu juu juu na muwasho akunwe na nani, aisee hebu tafuteni solution ya hii kitu.
Matatizo umsababishie wewe!
Chakula kibovu wewe ndo unayempikia!
Mastress unampa wewe!
Anayemshawishi twende bar ni wewe!
Afu Matatizo akatatue mwenyewe Duh!!
Sijui ni vyakula mnavyokula au ni uvivu wengi wenu zero kabisa.
Hahaha basi kuna watu wataguswa sana na hii kitu, you can call me names and whatever ila kaujumbe kamefika.
Jumapili njema.
hahahaahah.... karibu utoe maoniNon sense
pole mama kwa kuteseaka ngoja nimalize mambo fulani nikutafute nikupe dozi ya masaa 6 hivi ,naona umevumila sana bila mafanikio.
mbunye sio kama saa au mobile app... flexibility is key na muda pekee sio determinant ya tendoKama kichwa cha habari kinavyosema kama kuku vile.
Wanaume wa type hii mnatuchosha ngoja tu niwamegee siri yani unakuta dakika 10 nyingi umeshamaliza, hivi mko serious kweli?
Na akichepuka usilete lawama maana unamuacha mtoto wa watu juu juu na muwasho akunwe na nani, aisee hebu tafuteni solution ya hii kitu.
Sijui ni vyakula mnavyokula au ni uvivu wengi wenu zero kabisa.
Hahaha basi kuna watu wataguswa sana na hii kitu, you can call me names and whatever ila kaujumbe kamefika.
Jumapili njema.
naskia wanapigana mikasi muda mrefu huwa wana kaharufu fraaanipole mama kwa kuteseaka ngoja nimalize mambo fulani nikutafute nikupe dozi ya masaa 6 hivi ,naona umevumila sana bila mafanikio.
Kama kichwa cha habari kinavyosema kama kuku vile.
Wanaume wa type hii mnatuchosha ngoja tu niwamegee siri yani unakuta dakika 10 nyingi umeshamaliza, hivi mko serious kweli?
Na akichepuka usilete lawama maana unamuacha mtoto wa watu juu juu na muwasho akunwe na nani, aisee hebu tafuteni solution ya hii kitu.
Sijui ni vyakula mnavyokula au ni uvivu wengi wenu zero kabisa.
Hahaha basi kuna watu wataguswa sana na hii kitu, you can call me names and whatever ila kaujumbe kamefika.
Jumapili njema.
mkuu kunawengine wamefanyiwa ile kitu wanaita FGM, watu wameng'oa ma labia yote (majora &minora) sasa hapo unajisumbua bure utapiga hata masaa tisa mtu haridhiki, kwa hyo inategemeanaKuna mdau mmoja alinifurahisha sana resolution yake mwaka huu ni kugusa tu akimaliza ,umeridhika ,hauja ridhika utajua mwenyewe
Hahaha ndio maana nilimwelewa sana jamaa aliyesema anagusa tu anasepa , kumridhisha huyu kiumbe kunategemeana na vitu vingi sana ,mojawapo ni hiyo uliyoisemamkuu kunawengine wamefanyiwa ile kitu wanaita FGM, watu wameng'oa ma labia yote (majora &minora) sasa hapo unajisumbua bure utapiga hata masaa tisa mtu haridhiki, kwa hyo inategemeana