Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe leo umetufanyi promo eehhh...[emoji12]hahaha wapo humu wengi wenye uhitaji wanapita kimya kimya nadhani leo pm zenu zitajaa lolest....
Wanaume wa kuleta heshima kitandani tumebaki wachache, na kwa sasa tatizo la nguvu za kiume ni jipu ambalo halijapata mtumbuaji.kwani huwaoni humu wanatokwa povu...ndio hao tunaowapata majangaa...
hahaha naona mwisho umenikaribisha nishuhudie uwezo wako...asante sana mkuuWanaume wa kuleta heshima kitandani tumebaki wachache, na kwa sasa tatizo la nguvu za kiume ni jipu ambalo halijapata mtumbuaji.
Binafsi siamini katika utumiaji wa dawa kuusisimua mwili ili kwenda dk nyingi bali ninachoamini ni kula chakula sahihi hasa cha asili, utawaona wanaume wengi na ndevu kubwa kumbe marijali ni wakitafutwa kama sindano gizani.
Karibu brenda18 nikupe kitu ulichokikosa, hakika nikikugusa sehemu husika hata dk 20 hufikishi.
Yap..... kugegeda ni fani, hili uufurahie mgegedo yakupasa ukutane na specialist wa kugegeda.hahaha naona mwisho umenikaribisha nishuhudie uwezo wako...asante sana mkuu
Nimeuliza tu brenda18sio lazima kila kinacholetwa hapa kiwe kimemkuta mleta mada kumbuka hilo....wanawake wengi wanalia huko kwenye magrup tatizo linazidi kukua believe me...
Na Tako pia ndo muhimu zaidi usisahauSura ninayo na mvuto pia
Avatar yangu ilisha nichafulia upepo humu jf, maana hata pm zangu hazijibu aiseeee....[emoji13]hahaha eeh na nyie mpatemo warembo huko pm..ila hujamwaga sifa zako hapa wakujue pia
me I go an hour for the first round, when come to second u won't even want to wear ur pant come , u will not chepukalingiKama kichwa cha habari kinavyosema kama kuku vile.Wanaume wa type hii mnatuchosha ngoja tu niwamegee siri yani unakuta dakika 10 nyingi umeshamaliza, hivi mko serious kweli?
Na akichepuka usilete lawama maana unamuacha mtoto wa watu juu juu na muwasho akunwe na nani aisee hebu tafuteni solution ya hii kitu.
Sijui ni vyakula mnavyokula au ni uvivu wengi wenu zero kabisa hahaha basi kuna watu wataguswa sana na hii kitu, you can call me names and whatever ila kaujumbe kamefika.
Jumapili njema.
hahahhaa ,inaudhi hiyo,mtu anaingiza dakika mbili tu kamaliza,bora niwe single kuliko mwanaume wa hivi,
A case of damned if you do, damned if you don't!
Kuna wadada wengine hata ukienda hizo dakika 10 mwenzio tayari keshakauka na supposedly anaanza 'kuumia' [sijui ndo michubuko].
Pia wapo ambao ukienda zaidi ya dakika 10 mwenzio anaanza kujishuku labda humwoni kama ana mvuto maana angekuwa na mvuto tayari ungekuwa ushamaliza. Tena wakati mwingine unakuta hadi anakuhimiza kabisa umalize.
Wengine ukitumia chini ya wapo ambao watanung'unika.
Bottom line: ni silka ya binadamu kutokuridhika.