Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

ila wanaume wana moyo sana.. imagine mleta mada ni mkeo unaishi naye ndani yaani kufa na kuzikana,.. mapungufu yake yote na shida zake zote ni za kwake..

ukisikia mwanaume kaikimbia familia msimlaumu
 
imagine dem kashasema ana dudu afu ghafla unaona pm yake inakuambia mambo babe..dadeki
 
Duh!
Walahi hii kali!
humu Jf ..kuna watu wanastahiki kupimwa mkojo"... nina wasiwasi kabisa kuwa kuna baadhi ya watu hawakupaswa kuwa uraiani zaidi ya milembe
 
Wewe ulikuwa unatafuta nini PM kwa wanaume?

Sisi wengine ni mahandsome hatupendi kujaziwajaziwa message inbox [emoji41]
Wewe unafikiri tunapenda mnavotusumbua na vimesage vyenu kila wikiendi?
hahaaa
 
we dada wewe em kunywa supu apo naja kulipa....
af ukome kufatilia maisha ya watu!!
Kwan we yanakuusu nini account yangu
bando langu af we ni nan kunpangia

pumbafu
hahaa
 
Uzi huu umeandikwa na mwanaume au hermaphrodite!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…