Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

Haha ingine ya kikazi mkuu, siitumii bila sababu, ingine nilivirunda huko nyuma nikala ban kwa arosto nikaja na hii ila now ipo huru naitumiaga sometimes
Kua na id nyingi raha sometimes mm nimezipa vitengo maalu humu Luna hadi ya kutukania watu. Na kufuatia warembo pm
 
Hahaha yaani ukiingia na I'd flani unabehave kama mtu flani, raha sana aisee
Kua na id nyingi raha sometimes mm nimezipa vitengo maalu humu Luna hadi ya kutukania watu. Na kufuatia warembo pm
 
Duh..!

Tafuta wa kukukaza nati vizuri mapema.
 
Me sijaona tatizo. Manake akipungui kitu mwanaume atabaki kuwa mwanaume ata iweje. Hayo na maslahi binafsi ya mtu mwenyewe.
 
uko n kuingilia privacy ya mtu kwan wap kwenye izo privacy kumewekewa gender ya kike tu. Mda mwngne kuna mambo wanaume tunahaminishwa ni ujinga mtupu we fata kilichokuleta um ayo mambo ya kuchunguza/kufuatilia watu ndio umama kila mtu ana style yake ya maisha hakuna umuhim wa kufanana kwenye hilo
 
Eti utakuta mwanaume mzima, na akili zake timamu na kwa makusudi kabisa anafunga Pm yake.
Hivi naomba kuuliza, wewe mwanaume unafunga Pm ili iweje?
Unaogopa kutongozwa Pm au unaogopa kuombwa pesa huko Pm.

Hongera kwa wanaume woote wasiofunga Pm na Details zao.
Nyie mliobaki, huo ni Umama mnaoleta.

Yaani nikiona dume zima linafunga Pm huwa najiuliza mara mbilimbili, ni mzima kweli au kuna makucha anaficha!
Unaanzaje kufunga Pm na unamfungia nani hiyo Pm?
Pesa huna tuseme tutakuomba,
Sura huna,
Mvuto huna,
Pozi huna,
Kazi huna,
Maisha yako hayaeleweki.
...unafunga Pm ya nini?
Fungua upate madili.
Mtakosa vingi kwa umama wenu.

Pm acheni wafunge wadada, nyie wanaume ni kupambana hukohuko.
Wanaume woote mnaofunga Pm, mjue nimewadharau sana.
Na siwapendi hata.

Eti dume zima linaongelea kuhusu ignore list jukwaani.
Anaomba afundishwe jinsi ya kutumia kitufe cha ignore list....huoni aibu wewe!!! vingine jifunze mwenyewe ukiwa umejifunika na shuka kitandani.

Unataka kumuweka nani huko, au una account yako ya M-pesa huko ignoreni?
Mwanaume wa kweli hamuweki mtu Ignore list..bali anapambana nae hoja kwa hoja, jiwe kwa jiwe, chaka kwa chaka na pori kwa pori
Mwanaume wa kweli hafungi Pm hata kwa sekunde moja.

Ujumbe wangu ndo huo.
Povu lenu nipeni nikafulie mashuka nikiamka asubuhi.
View attachment 882875
Haya karibu,. Njoo pm
 
Back
Top Bottom