Niliwahi kuangalia show moja ya Dr. Phil, alikuwa anajadili hili suala, na kulikuwa na wanawake ambao walikuwa wamefanikiwa sana, lakini hakuna mwanaume ambaye aliwa-approach...nao walikuwa wanauliza why??
Jibu alilotoa Dr. Phil ni kwamba, historically mwanaume amekuwa ni 'bread earner"kwa familia yake na anajiskia vizuri if he can provide for his wife/partner/family. Sasa inapotokea anakutana na mwanamke ambaye amejitosheleza kila la kitu na labda kumzidi (mfano, kazi nzuri, gari, nyumba etc), sasa ile nafasi ya kuwa bread earner inapungua, na yeye hiyo satisfaction anaikosa, kwa hiyo wengi wanaona ni bora ampate ambaye hajamzidi materially....
Ngoja tusubiri wao wanasemaje...