Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliwahi kuangalia show moja ya Dr. Phil, alikuwa anajadili hili suala, na kulikuwa na wanawake ambao walikuwa wamefanikiwa sana, lakini hakuna mwanaume ambaye aliwa-approach...nao walikuwa wanauliza why??
Jibu alilotoa Dr. Phil ni kwamba, historically mwanaume amekuwa ni 'bread earner"kwa familia yake na anajiskia vizuri if he can provide for his wife/partner/family. Sasa inapotokea anakutana na mwanamke ambaye amejitosheleza kila la kitu na labda kumzidi (mfano, kazi nzuri, gari, nyumba etc), sasa ile nafasi ya kuwa bread earner inapungua, na yeye hiyo satisfaction anaikosa, kwa hiyo wengi wanaona ni bora ampate ambaye hajamzidi materially....
Ngoja tusubiri wao wanasemaje...
Uoga tu wa bure sioni tatizo kwanza siku ni haki sawa kwa wote tunatoka asubuhi wote tunarudi jioni, kila mtu na gari yake ha ha wanaume msinishambulie nawatetea wala hamuogopi chochote
for now am real broke i wish to have a woman who is loaded.....i dont care if a woman is rich nikivutiwa nae tu nadondoka, tatizo hawa wanawake matajiri they are not attractive thus why, too much time looking for money and they forget to wear make up.:tongue: