Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

Lovelovie

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2021
Posts
12,582
Reaction score
26,053
Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.

Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.

Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijaniπŸ™†πŸ™†πŸ™†.

Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.

Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?

Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
 
Unaweza kuvaa boxer na suruali yakitambaa kicha ukalamba mchomekeo na mchongongo chini?
Amini itakua vituko kama hutoonekana umejinyea basi utaona umekimbiwa na mke nyumbani.
Over...
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Eewwww
Nikifikiri πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Alafu nyie hampendi kuangaliwa penye maziiwa huo ni upuuzi kumwangaliaa mwanaume kuhusu mavazi ........


Yaaani TUSIPANGIANE
 
Sio mnachekeza mleta Mada kakosea kuwasilisha boxer sio pensi kuna boxer nguo ya kuvaa ndani na kuna pensi sijui unanielewa? Sasa mtu anaevaa boxer halafu akavaa pensi halafu akavaa tena jeans au cadet au suruali ya kitambaa huyu akapimwe akili
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bora zionekanane za timu nyingne 😁😁 just imagine umeli exposed la yanga fc , unaonekana mbwiga Kinyama πŸ˜†
Hauko seriously bro
Hivi kijani na jekundu
Bora zionekanane za timu nyingne 😁😁 just imagine umeli exposed la yanga fc , unaonekana mbwiga Kinyama πŸ˜†
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…