Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani ni fedheha mno , hao jamaa wanapenda tupia magagulo ya li timu Lao, alafu huwa wanajiamini sna πππππππAlafu unaambiwa sisi ndo Yangaaaaππ
Nyekundu / nyeupe mbona ubwela tu kijani na njano just imagine ππHauko seriously bro
Hivi kijani na jekundu
Mi mwenyewe hii hua siielewi ila kwa kuwa umeitaja kanda ya ziwa kule ni spesho kesi linapokuja suala la mavazi. Wana staili yao nyingine unakuta mtu kavaa vuzuri kabisa let say kadet, chini kiatu cha ngozi kimebrashiwa vizuri amechomekea shati ila ndani ya shati ana zile jezi za basketballππ. Unamuangalia unasema ishi inq maana huyu mwamba kakosa vest? Au hili dude alilovaa ndani na hili joto ana manage vp?Kaka zangu kujeni dada enu nawaita
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijaniπππ.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza
ππππ
Njoo uwe designer wangu wa mavazi sasa, nafasi iko wazi kwa ajili yako tu πUsiwe unavaa hivo ππ
πΉπΉπΉUsikute anayesema hivi na yeye amevaa wigi na haoni tatizo.
ππππππUmenichekesha mnoMi mwenyewe hii hua siielewi ila kwa kuwa umeitaja kanda ya ziwa kule ni spesho kesi linapokuja suala la mavazi. Wana staili yao nyingine unakuta mtu kavaa vuzuri kabisa let say kadet, chini kiatu cha ngozi kimebrashiwa vizuri amechomekea shati ila ndani ya shati ana zile jezi za basketballππ. Unamuangalia unasema ishi inq maana huyu mwamba kakosa vest? Au hili dude alilovaa ndani na hili joto ana manage vp?
Man u atutoe yanga ndio mambo yao unakuta na lile limpira nimeachia kidogo limepanda kiunoni kama belt πππWhy Man U na Yanga??
Wananchiiiiiiiiiiiiiiiii πΉπΉ