Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Ukizungumzia uvaaaji watu wa daslamu mna mambo ya ajabu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndo tofauti ya mbomboo na papuchi. Mwanaume hata akivaa gunia kwa ndani bado haina shida ila avae mwanamke uone hilo fukuto litavyozua vyakuzua! Nadhani umejivutia picha wewe (mwanamke) bila kuzingatia utofauti wa kimaumbile kati yako na wanaume.Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani[emoji134][emoji134][emoji134].
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
😂😂😂🥴EwwwHiyo ndo tofauti ya mbomboo na papuchi. Mwanaume hata akivaa gunia kwa ndani bado haina shida ila avae mwanamke uond hilo fukuto litavyozua vyakuzua! Nadhani umejivutia picha wewe (mwanamke) bila kuzingatia utofauti wa kimaumbile kati yako na wanaume.
Aaah! Kumbe wewe ni kolo ndio maana umewasema wachumba zangu mahandsome wa Yanga😂😂😂😂😂😂😂😂 Timu pendwaa
Hahahhahahah sio kanda ya ziwa tu lakini.😂😂😂😂😂Wakaka wa kanda yetu hii.
Kanda ya ziwa
Ety likaptula la CCM mbele kwa mbele
Ohoooo! We ni special case kaa pale wasubirie wenzake waingize ng'ombe bandani kwanza.Mim kanda ya ziwa😂😂
Kaka Vincenzo Jr uje huku😂😂😂Lovelovie kaniudhi kamsema kaka yangu wa Yanga Vincenzo Jr 😂
Vest mbona hujaiwrka hapo?Kwa mwanaume ambae hufanyi hizi labour day works anapaswa avae nguo ngumu ngumu za kuhakikisha zinamstili vizuri. Ndio maana utakuta mtu kavaa boxer, kaptula na suruali ama kaptula yenyewe na suruali na shati.
Kwa watu wa ofisini nguo za kuvaa ni 3 tu, boxer, suruali na shati tu. Siku ukivaa suti nguo ni 4 tu, boxer, suruali, shati na koti.
Kawaida, Bunduki inatakiwa kuhifadhiwa vizuriKaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
Yaaani mtuu, inamkera kiasi anapandisha uzi uhumu.hatuna kazi za maana aiseHaya ndo mambo tumebarikiwa waswahili kujadili watu