Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

Wanaume mnaovaa nguo za ndani nyingi huwa hamhisi fukuto?

Jana nilikuwa nacheka na mtu kuwa siku hizi kanga zimeisha bei tangu dela liingie mjini aisee dela limekuwa vazi la taifa.

Sina shida na dela maana limekuwa vazi jepesi tukiwa home tunajiachia na dela na skini taiti.

Daslam ni dela ya kyupi ati joto kali🤣 pia hakuna haja ya kuvaa bra kwenye dela labda wale wenye nyonyo zao kubwa ndo wanapambana na bra zao. Akina sie twajiachia.

Yaani dela halivaliwi ofisini na kanisani tu sehem nyingine zilizo baki ni fashion.

Msibani ni sare huko ndo kwenyewe.

Kuna kaka alinambia hili vazi la dela imekuwaje likageuzwa night dress? Akasema wanawake wanakera na kuvaa dela usiku you can relate lilivyo kubwa mkeo ndo kaja nalo kitandani.😆

Wanaume mulisema dela wavae wenye chura kubwa? Nani kasema? Tudada twembamba hamuoni tunavyopendeza na dela?
Dela limekuja purposely kuwasev vibonge🤭🤭

Wanawake tufanye mazoezi tusiruhusu mwili mkubwa ni aibu.
 
Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.

Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.

Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.

Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.

Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?

Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
Dunia mambo ni mengi sana vijana wa kiume tunawindwa mbaya mbovu kututoa jicho. Kingine ni ulinzi tu vijana tuna kazi nyingi nyimgine ni ngumu Suruali ikichanika jez ni ngumu sana kuchanik
 
Jana nilikuwa nacheka na mtu kuwa siku hizi kanga zimeisha bei tangu dela liingie mjini aisee dela limekuwa vazi la taifa.

Sina shida na dela maana limekuwa vazi jepesi tukiwa home tunajiachia na dela na skini taiti.

Daslam ni dela ya kyupi ati joto kali🤣 pia hakuna haja ya kuvaa bra kwenye dela labda wale wenye nyonyo zao kubwa ndo wanapambana na bra zao. Akina sie twajiachia.

Yaani dela halivaliwi ofisini na kanisani tu sehem nyingine zilizo baki ni fashion.

Msibani ni sare huko ndo kwenyewe.

Kuna kaka alinambia hili vazi la dela imekuwaje likageuzwa night dress? Akasema wanawake wanakera na kuvaa dela usiku you can relate lilivyo kubwa mkeo ndo kaja nalo kitandani.😆

Wanaume mulisema dela wavae wenye chura kubwa? Nani kasema? Tudada twembamba hamuoni tunavyopendeza na dela?
Dela limekuja purposely kuwasev vibonge🤭🤭

Wanawake tufanye mazoezi tusiruhusu mwili mkubwa ni aibu.
Sasa uvae dela usiku si utahisi mnasutana? 😹😹
Mimi napenda kulala km nilivyokuja duniani uwa naenjoy sana.!!
 
Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.

Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.

Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.

Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.

Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?

Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
Inatusaidia kujstr maana sasa kama uboo upo kama ya punda unataka ikismama iwe matagazo au?
Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.

Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.

Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.

Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.

Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?

Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
 
Ivi ni kwa nini wadada wavaa dira wanalibana kiupande kidogo kwa kulishikilia au ndio kuforce vitako? hasa wembamba🙄
Jana nilikuwa nacheka na mtu kuwa siku hizi kanga zimeisha bei tangu dela liingie mjini aisee dela limekuwa vazi la taifa.

Sina shida na dela maana limekuwa vazi jepesi tukiwa home tunajiachia na dela na skini taiti.

Daslam ni dela ya kyupi ati joto kali🤣 pia hakuna haja ya kuvaa bra kwenye dela labda wale wenye nyonyo zao kubwa ndo wanapambana na bra zao. Akina sie twajiachia.

Yaani dela halivaliwi ofisini na kanisani tu sehem nyingine zilizo baki ni fashion.

Msibani ni sare huko ndo kwenyewe.

Kuna kaka alinambia hili vazi la dela imekuwaje likageuzwa night dress? Akasema wanawake wanakera na kuvaa dela usiku you can relate lilivyo kubwa mkeo ndo kaja nalo kitandani.😆

Wanaume mulisema dela wavae wenye chura kubwa? Nani kasema? Tudada twembamba hamuoni tunavyopendeza na dela?
Dela limekuja purposely kuwasev vibonge🤭🤭

Wanawake tufanye mazoezi tusiruhusu mwili mkubwa ni aibu.
 
Jana nilikuwa nacheka na mtu kuwa siku hizi kanga zimeisha bei tangu dela liingie mjini aisee dela limekuwa vazi la taifa.

Sina shida na dela maana limekuwa vazi jepesi tukiwa home tunajiachia na dela na skini taiti.

Daslam ni dela ya kyupi ati joto kali🤣 pia hakuna haja ya kuvaa bra kwenye dela labda wale wenye nyonyo zao kubwa ndo wanapambana na bra zao. Akina sie twajiachia.

Yaani dela halivaliwi ofisini na kanisani tu sehem nyingine zilizo baki ni fashion.

Msibani ni sare huko ndo kwenyewe.

Kuna kaka alinambia hili vazi la dela imekuwaje likageuzwa night dress? Akasema wanawake wanakera na kuvaa dela usiku you can relate lilivyo kubwa mkeo ndo kaja nalo kitandani.😆

Wanaume mulisema dela wavae wenye chura kubwa? Nani kasema? Tudada twembamba hamuoni tunavyopendeza na dela?
Dela limekuja purposely kuwasev vibonge🤭🤭

Wanawake tufanye mazoezi tusiruhusu mwili mkubwa ni aibu.
😂😂😂😂Miili mikubwa ni aibu kubwa
 
Jana nilikuwa nacheka na mtu kuwa siku hizi kanga zimeisha bei tangu dela liingie mjini aisee dela limekuwa vazi la taifa.

Sina shida na dela maana limekuwa vazi jepesi tukiwa home tunajiachia na dela na skini taiti.

Daslam ni dela ya kyupi ati joto kali🤣 pia hakuna haja ya kuvaa bra kwenye dela labda wale wenye nyonyo zao kubwa ndo wanapambana na bra zao. Akina sie twajiachia.

Yaani dela halivaliwi ofisini na kanisani tu sehem nyingine zilizo baki ni fashion.

Msibani ni sare huko ndo kwenyewe.

Kuna kaka alinambia hili vazi la dela imekuwaje likageuzwa night dress? Akasema wanawake wanakera na kuvaa dela usiku you can relate lilivyo kubwa mkeo ndo kaja nalo kitandani.😆

Wanaume mulisema dela wavae wenye chura kubwa? Nani kasema? Tudada twembamba hamuoni tunavyopendeza na dela?
Dela limekuja purposely kuwasev vibonge🤭🤭

Wanawake tufanye mazoezi tusiruhusu mwili mkubwa ni aibu.
Mimi nikitinga dela hadi waliobeba watoto wananiamkia😂
 
Back
Top Bottom