Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
LoveLovie naona huna love nao wenye double boxer 🤣Kaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
eti au jinszi unaweza kuvalia na boxer ila suruali ya kitambaa lazima uwe na boxer na bukta piaKaka zangu kujeni dada enu nawaita.
Unakuta mkaka mzuri sana, kapendeza akiinama labda kuokota kitu unaona boxer ndani na lijikaptula tena lingine kwa ndani kama ya Man u, Yanga au Liverpool.
Mwingine juzi kwenye daladala kasema konda nishushe sehem fulani kusimama kushika juu boxer nyeusi na jezi kaptula ya kijani🙆🙆🙆.
Mwingine juzi site ya boss wangu, kaambiwa aingie huko juu kufunga nin sijui kupanda kavaa mkaptula wa purple na boxer.
Watu wa namna hii hua wanaficha nin hadi kuvaa vitu viwili viwili na hua hawafukuti joto?
Wanaume wengi wa kanda ya ziwa ndio wako na hii tabia au wanajitunza.
😊😊😊😊
😍Nimekumic mno 😊😊😊
NakaziaTUSIPANGIANE
Fala sana 😂Bora zionekanane za timu nyingne 😁😁 just imagine umeli exposed la yanga fc , unaonekana mbwiga Kinyama 😆
🤣😁😁😁Lovelovie kaniudhi kamsema kaka yangu wa Yanga Vincenzo Jr 😂
Vest kama unaishi mazingira ya baridi angalau kuongeza joto ila kama unaishi Dar vest sio recommended kabisa maana inaingeza nguo mwilini na kuingeza joto. Unless uwe na kitambi maana vest wakati mwingine hutumika kama sidiria ya kitambi, kushikilia kitambi. Ila kama uko na normal build, nguo tatu tu yaani boxer, suruali na shati zinakutosha.Vest mbona hujaiwrka hapo?
Wanaforce vitako! 😂Ivi ni kwa nini wadada wavaa dira wanalibana kiupande kidogo kwa kulishikilia au ndio kuforce vitako? hasa wembamba🙄
Sasa mtoa mada hakukosea kusema kanda ya ziwa. Mm nimewashuhudia mabodaboda, wajenzi, wabeba mizigo masokoni na hata wauza maduka, kuanzia chato, katoro,geita, sengerema ni kawaida yao kuvalia hivyoSio mnachekeza mleta Mada kakosea kuwasilisha boxer sio pensi kuna boxer nguo ya kuvaa ndani na kuna pensi sijui unanielewa? Sasa mtu anaevaa boxer halafu akavaa pensi halafu akavaa tena jeans au cadet au suruali ya kitambaa huyu akapimwe akili
Kumbe nimepatia😆😆😆Wanaforce vitako! 😂