Wanaume mshindweeee! Kila mtu anaumia, lol!

Wanaume mshindweeee! Kila mtu anaumia, lol!

Tokea enzi ya mitume na manabii: wanaume ruksa kutembea na wanawake lukuki. wapi umesikia mwanamke kaoa wanaume zaidi ya mmoja? Baba yangu alikuwa na wake watatu.

baba zetu walikuwa wanafanya kazi ngumu labda waliweza kuwasatisfy hao wake wengi ila kwa maisha haya ya sasa ya kushinda kwa PC na kupanda magari inabidi tufanye utafiti kama wanawake wanakuwa satisfied
 
siku zote mtenda akitendwa ndo inamuuma.
alikurupuka sana.
ile ilikuwa movie ambayo angeicheza scenes moja baada ya ingine.
alipoingia gest angemuacha aingie ndani kabisa chumbani ili lengo la mkewe kuingia gest liwe lilikamilika, then yeye ndo aingie pale reception
then ampigie mkewe simu kumuuliza uko wapi...simu isipopokelewa atume ujumbe kumtaarifu kuwa niko hapa reception ukimaliza starehe zako nakusubiri tuongee. then movie part 2 ianzie hapo.
Ndoa hizi jamani....wizi mtupu...kulipiza kisasi ni kujenga au kubomoa...
 
Kulaaaaaaaaaaaleki!

Leo ndo nimegundua kumbe ndyoko ni SHE!


Poor me!!
Aiseeeeeeeeee nitake radhi ntakushusha mshipa mida hii hii, tafadhali fanya haraka. Sio kila aliyeko TGNP ni mwanamke.

Nakupa dk tano tuuuu!

Mie kidume tena cha mbegu bora mkuu, lo lo lo loooooooo! Umenidhalilisha!
 
siku zote mtenda akitendwa ndo inamuuma.
alikurupuka sana.
ile ilikuwa movie ambayo angeicheza scenes moja baada ya ingine.
alipoingia gest angemuacha aingie ndani kabisa chumbani ili lengo la mkewe kuingia gest liwe lilikamilika, then yeye ndo aingie pale reception
then ampigie mkewe simu kumuuliza uko wapi...simu isipopokelewa atume ujumbe kumtaarifu kuwa niko hapa reception ukimaliza starehe zako nakusubiri tuongee. then movie part 2 ianzie hapo.
Ndoa hizi jamani....wizi mtupu...kulipiza kisasi ni kujenga au kubomoa...

hilo nalo linahitaji ujasiri. wanaume wengine ni dk mbili, we unapiga simu mwenzio anaweka silent mode, mpaka unafika chumbani akhaa, jamaa mwepesiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!
 
Hili tatizo la ndoa na Mahusiano napata mashaka kama linaweza kutatulika kirahisi kwa ushauri pekee yake. Ni vyema sasa tumshirikishe Mungu kwa Kuombeana na pia lkuheshimiana sisi sote, Wanaume na Wanawake.
Mungu tuokoe na hiki kizazi chenye kupenda zinaa.
Amen.
 
Back
Top Bottom