Wanaume msiokunywa pombe acheni majungu. Tunaokunywa tunawazidi kila kitu kuanzia pesa hadi maisha; njaa zenu zisiwape viburi, hamna chochote

Hakuna reply ya Hazard CFC hapa?
Hivi mnazungumzia ulevi au unywaji kwanza? Ulevi sio sifa nzuri.
Tuendeleeni tu.😂
Wanasema beer moja ni tofali mbili.
Ila muulize una nyumba ngapi?
 
Wakiongozwa na Wachungaji wao, wakikaa Makanisani mwao ni Kutusimanga tu utadhani tunawaomba pesa ya biere. Sisi wala hatunaga hata muda nao
 
Nipe andiko lililosema kunywa beer ni dhambi
Halipo Mkuu labda wa Imani zingine.
Sisi tumerusiwa kunywa hata kwenye matoleo yetu ya Zaka.

" Kumbukumbu la Torati 14:22

Usiache kutoa zaka ya fungu la kumi katika maongeo yote ya mbegu zako, yatokayo shamba mwaka baada ya mwaka.
14:23 Nawe utakula mbele za Bwana, Mungu wako, mahali atakapochagua apakalishe jina lake, zaka ya nafaka zako, na divai yako, na mafuta yako, na wazaliwa wa kwanza wa makundi yako ya ng'ombe na ya kondoo; ili upate kujifunza kumcha Bwana, Mungu wako, daima.
14:24 Na njia ikiwa ndefu mno nawe, usiweze kuzichukua kwa kuwa mahali ni mbali nawe mno atakapochagua Bwana, Mungu wako, apakalishe jina lake, hapo atakapokubarikia Bwana, Mungu wako;
14:25 ndipo uzibadili ziwe fedha, na kufunga zile fedha uende nazo mkononi mwako, hata mahali atakapochagua Bwana, Mungu wako;
[emoji117]14:26 na zile fedha zitumie kwa cho chote itakachotamani roho yako, ng'ombe, au kondoo, au divai, au kileo, au roho yako itakacho kwako cho chote; nawe utakula huko mbele za Bwana, Mungu wako; tena furahi, wewe na nyumba yako;"


Isipokuwa tumeambiwa tunywe kwa kiasi na kurudi nyumbani mapema.
Bila kusahau maagizo ya Mungu wetu.

Isaya 5:11
"Ole wao waamkao asubuhi na mapema, wapate kufuata kileo; wakishinda sana hata usiku wa manane mpaka mvinyo imewaka kama moto ndani yao!
5:12 Na kinubi, na zeze, na matari, na filimbi, na mvinyo, zote ziko katika karamu zao; lakini hawaiangalii kazi ya Bwana wala kuyafikiri matendo ya mikono yake."
 
Bossi mbona unatufokea kisa hatunywi pombe,ila hongera umeifanyia pombe mbonge la edification, mpaka natamani nijiunge kwa chama cha wanywaji,vipi mnapokea wanachama wapya.ETI UNAENDESHA HATA KWENYE KAMBA KWELI GAMBE SIO MAJI.
 
Wachungaji mkuje huku huyu kondoo anahitaji maombi maalumu eti, zile fedha zitumie kwa cho chote itakachotamani roho yako, ng'ombe, au kondoo, au divai, au kileo,
 
Wachungaji mkuje huku huyu kondoo anahitaji maombi maalumu eti, zile fedha zitumie kwa cho chote itakachotamani roho yako, ng'ombe, au kondoo, au divai, au kileo,
ha...ha...ha.
Hapa Wachungaji hawapasomi.
Wanapita kimya kimya.

Pombe inawafaa watu wenye nguvu na busara.
Kwa wadhaifu pombe ni kaburi la kila anachokitegemea.

Ndio maana Makanisani Pombe inakatazwa, kwakuwa wanashindwa kutambua nani ana uwezo wa kunywa pombe kistaarabu bila kuathiri maisha yake binafsi na ya jirani yake na mahusiano na Mungu wake.
 
"Wahenga walisema pata pesa tutukujue tabia yako"

Asikudanganye mtu, tuna walevi wengi sana ila tabia yao imejificha kwa kukosa pesa, hao wanywa soda wengi wamefichwa tabia zao kwasababu ya kukosa pesa, wakipata tu wanadevelop tabia yao halisi
 
safi sana mkuu hawajui kosa ni matokeo ila sio kinywaji wanakalilishana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna justification yoyote unayoweza kutetea sumu kali aina ya pombe inayoua taratibu.
Niambie nani alikula samaki akafa ..nani alikunywa maji safi na salama akafa, nani alijipaka mafuta ya Nazi au yoyote ya asili akafa..
Embu acha utani. Kwaheri.
Wewe utakuwa ni mlokole !!!
 
Umetisha
 
Walevi mna shida sana mjomba unahitaji maombi
 
Macho yako ni makali sana.
 
Na vipi,kwa sisi ambao tukipiga bia kuanzia tatu na kuendelea mjomba anasimama hivyo kuhitaji mbususu kwa mantiki hiyo pesa yetu inatumika kunywa pombe na kuwapa michepuko,na kiuchumi bado tupo vizuri??.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…