The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Sana, mko vizuri sana mkuu.Na vipi,kwa sisi ambao tukipiga bia kuanzia tatu na kuendelea mjomba anasimama hivyo kuhitaji mbususu kwa mantiki hiyo pesa yetu inatumika kunywa pombe na kuwapa michepuko,na kiuchumi bado tupo vizuri??.
Umesema hawajajenga, hawana magari kama wewe ulivyokuwa nayo lakini wanajiona kuwa smart kuliko wewe unayekunywa pamoja na kuwa una magari na nyumba, wako sahihi Sana ndio maana wao hawajalalamika kwanini hawana hivyo ulivyonavyo wewe Cha ajabu wewe ndio nalalamima Kwa wao kujiona smart pamoja na kuwa unapata deals nyingi katika kulewa kwako, unanga'ng'ana na maendeleo ya vitu wakati afya yako unaiteketeza Kwa kunywa mapombe makali ukiona ndio ujanja wakat mtaji mkubwa wa maendeleo ni Afya, hata kama hawana ulivyonavyo ila kuwa na afya tu ni mtaji utakaowawezesha na wao kujenga huku wakiwa salama, endelea kuchoma maini uje upate matatizo ya mapafu na Figo huko mbele utakapoanza kuyashughulikia ruti za kwenda India zitapukutisha tuhela twako, ndio maana wao wanajiona smartHabari za mda huu,
Hivi kwanini hawa washikaji wasiokunywa wanatuchukulia makolo? yaani hawa washikaji wasiokunywa pombe sijui huwa wanatuchukuliaje asee, kwanza hamna wanachotuzidia ni njaa tu zinawasumbua ila cha ajabu wanadharau sana hawa washikaji, yaani hawana nyumba, hawana gari wala pesa cha ajabu wanajiona special sana.
Asee waambieni kuwa sio kila anaekunywa pombe kakata ringi, hawa jamaa wanaangalia wale vichaa mitaani wanaamini kuwa ndio walevi walivyo, yaani unamchukulia mtu aliekata ringi anakunywa gongo na chibuka huko alafu wanaamini ndio akili za watumiaji wote wa gambe, hivi hawa jamaa wanajua starehe tunayoipata kwenye gambe kweli?
Wanajua ile burudani ya kuanza kuona taa kama autofocus vile, wanajua kweli furaha ya gambe mwili unavyokuwa strong kweli? wanajua kweli umakini tulionao baada ya kupga gambe, aliewaambia waliopiga gambe wanapata ajali ni nani? Yaani hawa jamaa hawajui kama tukipiga gambe umakini unaongezeka mara 10 ya umakini wa awali, na huwa tunajiamini sana tunaweza kuendesha gari hata kwenye kamba na tusipate ajali? hebu nisaidieni kuwaambia hawa watoto wa mama kuwa njaa haifurahiwi, wasiokunywa ni pesa hawana wasijione special.
kavute mkuu cha arusha ila nacho after few days utakuwa ushapoteza dila mkuu haya maisha mda mwingine hayaitaji kuogopa mkuu unaweza kukwepa kuunguza maini cha ajabu bodaboda kala zake akakuptia na akakatisha uhai wako your not suppose to fie like thatPumbavuh! Kifo kila mtu atakufa, it depends umekufaje au nini kimechangia ufe, Soda ndio nini.. Mimi sinywi hayo matakataka yenye sumu.soda(sumu) haina tofauti na pombe(sumu) unayokunywa.
Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
mkuu umeongea maana ila hapa nimenotify kuaharibu afya kifo etc na ndio imani ya watu wa aina yako wanajua wako smart hata kwa mpango ya mwenyezimungu ila ukweli ni kwamba utakwepa sumu zungumza ni mipango ya mungu ila siku yako ikifika hautakwepa mkuu haya unayozungumza ni mipango ya mwenyezimungu mkuu ambayo huwa hatupangi sisUmesema hawajajenga, hawana magari kama wewe ulivyokuwa nayo lakini wanajiona kuwa smart kuliko wewe unayekunywa pamoja na kuwa una magari na nyumba, wako sahihi Sana ndio maana wao hawajalalamika kwanini hawana hivyo ulivyonavyo wewe Cha ajabu wewe ndio nalalamima Kwa wao kujiona smart pamoja na kuwa unapata deals nyingi katika kulewa kwako, unanga'ng'ana na maendeleo ya vitu wakati afya yako unaiteketeza Kwa kunywa mapombe makali ukiona ndio ujanja wakat mtaji mkubwa wa maendeleo ni Afya, hata kama hawana ulivyonavyo ila kuwa na afya tu ni mtaji utakaowawezesha na wao kujenga huku wakiwa salama, endelea kuchoma maini uje upate matatizo ya mapafu na Figo huko mbele utakapoanza kuyashughulikia ruti za kwenda India zitapukutisha tuhela twako, ndio maana wao wanajiona smart
Sawa MkuuSana, mko vizuri sana mkuu.
Wanywa pombe a k a walevi wanaongoza kwa kupiga mizinga,mnakera mno,umenikuta nakunywa soda nakukaribisha soda unataka bia nyambafu.Habari za mda huu,
Hivi kwanini hawa washikaji wasiokunywa wanatuchukulia makolo? yaani hawa washikaji wasiokunywa pombe sijui huwa wanatuchukuliaje asee, kwanza hamna wanachotuzidia ni njaa tu zinawasumbua ila cha ajabu wanadharau sana hawa washikaji, yaani hawana nyumba, hawana gari wala pesa cha ajabu wanajiona special sana.
Asee waambieni kuwa sio kila anaekunywa pombe kakata ringi, hawa jamaa wanaangalia wale vichaa mitaani wanaamini kuwa ndio walevi walivyo, yaani unamchukulia mtu aliekata ringi anakunywa gongo na chibuka huko alafu wanaamini ndio akili za watumiaji wote wa gambe, hivi hawa jamaa wanajua starehe tunayoipata kwenye gambe kweli?
Wanajua ile burudani ya kuanza kuona taa kama autofocus vile, wanajua kweli furaha ya gambe mwili unavyokuwa strong kweli? wanajua kweli umakini tulionao baada ya kupga gambe, aliewaambia waliopiga gambe wanapata ajali ni nani? Yaani hawa jamaa hawajui kama tukipiga gambe umakini unaongezeka mara 10 ya umakini wa awali, na huwa tunajiamini sana tunaweza kuendesha gari hata kwenye kamba na tusipate ajali? hebu nisaidieni kuwaambia hawa watoto wa mama kuwa njaa haifurahiwi, wasiokunywa ni pesa hawana wasijione special.
HahahahaWasiokunywa wana kitu mbadala ambacho kinatafuna ngawira kuliko pombe. Kuna mtu kanitonya ni ZIPU Ila sielewi ni nini.
Nilimpoteza rafiki yangu kipenzi baada ya kurudi club akiendesha huku akiwa amelewa.Usinywe na kuendesha chombo chochote cha moto.
Kwa kuongezea tu mkuu bar hapewi huduma mpaka atangulize pesa...Mlevi anachoweza ni kukununulia pombe tu ukimwambia una njaa hawezi kukunnulia chakula, walevi wengi wakiskia mwenzao ameacha pombe wanamchukia na kuanza kumsengenya huku wakimuombea mabaya wanamuonea wivu kwakua mwenzao katoka kwenye utumwa.
Walevi wengi wanaongoza kwq kupenda kukopa na kukimbia kulipa, walevi walio fanikiwa wanaongoza kuwanywesha pombe walevi wasio na ramani lakin hawapo radhi kuwakopesha hat hela ya mtaji.