Wanaume msiwe hivi!

Naomba nikushauri ....kama ume mwelewa tafta mda nenda kampe kitumbua akisha maliza gemu sasa mweleze usiyo yapenda ...nikuahidi atacha na atabadilika
 
Hiyo staili huwa tunatumia pale tunapojichanganya kumpenda demu wa mtandaoni tukidhani ni demu mkali alafu baadae tukagundua tulijichanganya vibaya hana ukali wowote

Ndo utashangaa unaanza kuitwa dada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…