Wanaume mtaendelea kulogwa msipoacha haya ....

"Mimi nimevuka bahari bila kichwa kulowa maji, silogeki".

Jana alikuja jamaa hapa JF ana trend na thread anatafuta demu Mzungu awe na urafiki kwa nia ya kuoa. Tena wa kukaa naye Tanzania si kutafuta safari ya ughaibuni.

Nikaona fadhaa sana. Kwanini mtu anatafuta Mzungu kwa umahsusi hivi? Sina tatizo na mapenzi ya watu wa rangi tofauti yakitokea tu kama mapenzi, lakini huyu anawinda Mzungu akanifanya nijiulize sana.

Kwetu hakuna mabinti wa kuvutia?

Kimetokea nini?

Nimesikiliza hiyo audio.

Kama mtu anakutana na wanawake wa aina hiyo, akiamua kutafuta Mzungu aliyetuliza kichwa wala siwezi kumshangaa.
 
Mwamba ngoma huvutia kwake, na msipobadilika mtapiga kelele sana na kutumika sana wakati wanaowatumia mwisho wa cku wanawaacha na kutafuta wake wenye hekima na busara wakawaowa na wanaishi. Hakuna cha mume wala mke, hiyo dhambi ipo kote. Mwanamke mmoja kwa upumbavu wake kaachwa basii kila kona analaumu wanaume hadi wadada ambao hawajaolewa nao wamekataa ndoa kisa muasi mmoja. Nwaname mpumba pia hvyo hvyo kaachwa anasema wanawake wote hovyo hadi vijana wamekataa kuoa. Tena huo uchawi mnaokimbilia ndiyo ishara tosha kuwa hamna hekima wala busara hata kidogo.
Wakaenda matarishi wenye nyaraka za mfalme na wakuu wake, kati ya Israeli yote na Yuda, na kwa amri ya mfalme, kusema, Enyi wana wa Israeli, mrudieni BWANA, Mungu wa Ibrahimu, na Isaka, na Israeli, apate kuwarudia waliosalia wenu waliookoka mikononi mwa wafalme wa Ashuru.
 
Aisee
We ngoja umpate wa kukufanya ucheke kama chizi unacheka na ukuta ndio ujue ushapigwaaa
Hahahahah ila kuna makabila fulani ukioa lzm limbwata ulishwe tuu,kwa upande wangu sio kwamba najisifia ila siku nagundua kitu kama hicho Mungu ndio anajua aiseee...
 
Ndo mawazo ya wasiopenda kazi.
Chapeni kazi.
Asilimia kubwa ya michepuko ndio ninyi nyie
Mnaojidhalilisha na kutembea na waganga ili mambo yenu yanyooke
Huwezi kushindana na mwanaume other wise you will be heading to hell.
 
Bro utaishia kuwa mngese
No man is an island!
Acha itikadi OA!
Unaonekana una itikadi za kaskazini. Ninyi mmewamaliza wa kwenu. Sasa umeanzisha dhehebu lako la mafundisho ya ulaya???

Na bado usidhani utamroga mtu wewe ubaki salama maana Mungu hugawa adhabu sawasawa na upumbavu ulioufanya na ndivyo ilivyokuwa kwa Adam na Eve

Badala ya kuombea vizazi vyenu vipone na mjisahihishe mlipo kosea. Nyinyi mnaleta upumbavu

Ama kweli mwanamke mpumbavu hu.......(bible)
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…