Wanaume mtuambie ukweli

Wanaume mtuambie ukweli

Sio kila habari imeandikwa tafiti zinasema basi ujue ni tafiti kweli. Hiyo tafiti ingebidi aielezeee hatua kwa hatua hadi jinsi mtu mwenye hali avyopinda big boobs

mkuu ungesema kuwa kila habari si tafiti tungekuelewa,otherwise tafiti hupingwa na tafiti...
 
Tafiti nyingine sijui zinafanyikia wapi na kwa namna gani, any way kwa vile sina data mbadala ngoja nipige kimya
 
mkuu ungesema kuwa kila habari si tafiti tungekuelewa,otherwise tafiti hupingwa na tafiti...
Hiyo iliyoletwa si tafiti bali ni maneno tu yanasema kua "Tafiti inasema...." kama ingekua imeletwa tafiti basi ningeipinga kwa tafiti.
 
Zamani watu waligundua gravitational force, wakavumbua steam engine na dawa za kutibu magonjwa!

Leo hii, watu wanagundua eti wanaume wenaopenda matiti makubwa wana hali duni kiuchumi.

Kua na amani dada, MTINDI ndio habari ya mjini!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jibebe blebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebee
oya Jibebe bebee
asa Jibebe bebee
embu Jibebe bebee
siu Jibebe bebeeP
 
Back
Top Bottom