Wanaume muda mwingine sijui hua tunawaza nini, sasa Nay alivutiwa nini na Fey?

Inawezekana huyo dada akawa na kitu inanyonya uume.
 
[emoji134] [emoji134] Mkuu, kama mwenyewe ndo angekuwa anasoma comment yako chozi lingemdondoka. Hizo sifa ulizotoa kiboko! Sura kama embe...!!! [emoji1] [emoji1]
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kwani yy hawezi kupendwa?
 
Wawezakuta na yeye angemjua mpenzi wako angeuliza swali kama hilo uliloliuliza
 
Kwani nay nae ana uzuri gani sasa
Kaja mwenyewe huyoooooooo
 
Wanaokosoa hivi hua ni wabayaaa
 
Kuna kausemi kana sema ivi kila mtu ana MTU wake so usishangae hata wako ukimleta hapa tunaweza kukushangaa piq
 
Uyu dada balaa kapita red carpet kaulizwa swali kajikuta ka bonge la celeb anawai sehemu na taulo lake
Mtangazaji;;umemwacha ney kisa nini
Fey;;nimemwachia nini ney??ana kibamia uyo(uku akiharakisha sehemu)
 
hio picha ya pili pembeni kuna vibastola ndani ya red duu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…