Kujisafisha sio issue sana sema lazima kuna kitu kinabakia kwenye hizo kucha. Sipendagi kuweka kucha sababu nikiwaza ntakulaje ugali na kwanza zinauma nikibandika. Ila hizo ndefu sana aisee.Anajisafishaje na makucha hayo,
Kula sio ishu wanatumia umma na vijikoKujisafisha sio issue sana sema lazima kuna kitu kinabakia kwenye hizo kucha. Sipendagi kuweka kucha sababu nikiwaza ntakulaje ugali na kwanza zinauma nikibandika. Ila hizo ndefu sana aisee.
Ugali na uma na kijiko haunogi. Ugali shurti ule na mkono. Kwanza michezo ya uma na kijiko siipendi kabisa.Kula sio ishu wanatumia umma na vijiko
Unataka mwanaume awe mzuri ili iweje?Wanaokosoa hivi hua ni wabayaaa
Macho yako ni zaidi ya macho ya mwewe. Unaona mbali brother.hio picha ya pili pembeni kuna vibastola ndani ya red duu
Hivyo vitu hua ni adimu sana kuvipata. Kitu inanyonya mshedede. Acha kabisa.Inawezekana huyo dada akawa na kitu inanyonya uume.
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]Labda, inawezekana pia.
Unajua wanawake shapeless wengi mileage hawajaenda sana na unakuta engine zao bado ziko imara maana hazijapita kwenye 'makorogesheni' mengi.
Ila huyo mwanamke kwa mtazamo wangu sio wa level za kina Nay. Kwanza shapeless, hana mkia, kifua kikubwa, hayuko proprotional, sauti mbaya, sura mbaya, uso kama embe, kwa ujumla ni polygon.
Kitendo cha kuwekwa hapa tayari jina limekua kwa percent fulani!Kiki tu huyo dada Anatafuta jina kinguvu hata Hizo kucha kabandika kusudi anajua wambeya wataongea tu simple tu.
Ni kweli na ndicho wanachokitaka.Kitendo cha kuwekwa hapa tayari jina limekua kwa percent fulani!