Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Kujisafisha sio issue sana sema lazima kuna kitu kinabakia kwenye hizo kucha. Sipendagi kuweka kucha sababu nikiwaza ntakulaje ugali na kwanza zinauma nikibandika. Ila hizo ndefu sana aisee.Anajisafishaje na makucha hayo,