Wanaume muda mwingine sijui hua tunawaza nini, sasa Nay alivutiwa nini na Fey?

Wanaume muda mwingine sijui hua tunawaza nini, sasa Nay alivutiwa nini na Fey?

Ney aliona ndiye anamfaa kwa muda huo basi inatosha...

Mengine huwezi kupata majibu.
 
Labda, inawezekana pia.
Unajua wanawake shapeless wengi mileage hawajaenda sana na unakuta engine zao bado ziko imara maana hazijapita kwenye 'makorogesheni' mengi.

Ila huyo mwanamke kwa mtazamo wangu sio wa level za kina Nay. Kwanza shapeless, hana mkia, kifua kikubwa, hayuko proprotional, sauti mbaya, sura mbaya, uso kama embe, kwa ujumla ni polygon.
Duka kaka umeua kabisa!
 
Mvuto wa kulazimisha...kuna MTU akikupenda/tamani ni vigumu kukataa kutokana na nguvu yake ya ushawishi...ila ukiigundua mapema utaweza kumkwepa.
 
Nay si kifupi cha Neema... Uyo Da Ney ndo nani
 
SASA MKUU, HAO WAREMBO WANAGONGWA SANA HVYO K ZAO ZIMEGEUKA MADIMBWI KAMA UWANJA WA JANGWANI, HAO WABAYA MNAOWAKIMBIA HAWAJATEMBEA MAILI NYING HVYO UKGUSA LAZMA UNATE
Uwanja wa Jangwani umekujaje hapo? Kwanini sailisema shamba la mihogo bunju?
 
ni huko chini mkuu demu anaweza ana sura hana tako lkn sasa kule kwenye akawa amepewa K ya maana
 
Back
Top Bottom