Wanaume muda mwingine wanaboa sana

Yaani ifikie hatua nasafiri 720km tunakuwa hatujaliongelea suala la kulala pamoja kweli au mgegedano?
Hata mm nisingefurahi kabisa. Labda iwe kwa sababu zingine tu.

Sasa mtakuwa mlikuwa mnawasiliana kibiashara au kisiasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😀😀😀😀😀😀😀😀 pole mdada,yamekukuta nini??? huyo atakuwa mwanaume wa mkoani tu..wachukulie jinsi walivyo
 
Haipendezi mkutane face to face kwa Mara ya kwanza na kutoa papuchi,cha msingi ni kuvumiliana kwanza,halafu muda ukifika utapewa bila shida,siku hiyo hiyo unafika unataka papuchi mmmmh haiwezekani!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…