Naam mkuu, mimi pia nimefurahi.
Huo usomali utamaliza udenda wangu, njia iliyopo ni hiyo tu ya kunusuru udenda wangu
sio huyu aloandika huu uzi kweliMmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana
Siku anakuomba aje kukusalimia unakokaa,unamwambia hamna shida njoo
Anapanga siku anakuja,unampokea,unamkaribisha nyumbani kwako
Unampikia,anakula anashiba mnapiga stories
Inafika usiku unaenda guest kumchukulia chumba cha kulala ili apumzike ili kesho mzidi kupiga stori na kufahamiana zaidi anakataa
Anakulazimisha mlale naye chumbani kwako,unakataa unampa sababu ,kwa kuwa ni mara ya kwanza kukutana uso kwa uso nakuomba ukalale guest kesho tutaongea zaidi ,bado anakataa anakulazimisha mlale chumbani kwako
Basi unaona isiwe shida halafu ni mgeni unamuachia chumba chako alale ,naenda kwa rafiki yangu wa kike nikalale anakataa
Naonyesha msimamo anuna na kuzira na kuondoka usiku huo,namuacha anaenda,nafunga mlango naingia chumbani kwangu nalala,ila nachukua sim kumuuliza alipoenda kulala,hapokei sim,namtext ananijibu "Amesafiri kutoka mkoani km 720 halafu alale mwenyewe,wewe mwanamke hufai na huna huruma"
Wanaume bwana mungu anawaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni yeye basi anajua kutunga hadithisio huyu aloandika huu uzi kweli
?Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama - JamiiForums
Sent using Jamii Forums mobile app
Si angalau ungelala naeJamani si anavumilia tu siku zinazokuja huenda zikawa nzuri,haraka ya nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
sipati picha alivyojikoki njiani na staili zote mpya alizoandaa kuzifanyia majaribiokm 720
Akija jf lazima akuandikie uzi akupondeee mashetaniii tu nyie wanaume mxeeeeew
Sent using Jamii Forums mobile app
Tangu tufahamiane hajawahi kunipa hata senti na wala sijawahi muomba,kaniomba kaja mwenyewe ,nimetumia gharama zangu kumhudumia,naenda kumchukulia chumba kwa gharama zangu anakataa,mmmmh hata kama
Sent using Jamii Forums mobile app[/Q
Kwani hamkuwekana wazi kwenye simu kabla ...mngewekana wazi,hiyo ndio madhara ya blind appointment.
mmmHao wa mtaani si ndio wa mtandaoni sehemu zingine.Mimi hawanipati Ng'oo!!
Mwanaume wa mtandaoni sitaki acha nibangaize na wa mtaani hata mwaka mzima anavumilia.
Wa mtandaoni kukutana tuu kujuana na papuchi anataka ...! Akishakuwa wa mtandaoni Mimi hanifai sina haja ya kujudje mkuu.
πππππππππππππUwe na huruma. Km700+ si mchezo. Hata mimi sikubali. Kwani we wakati anakuja hukujua kuwa ataomba mchezo?
Yan km 700+ aje kupiga stori tuu? Stori hata kwa simu si mnapiga
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na wewe pia
Hakuna haraka wala kuchelewa
sasa keroNimeshaongea sana wana generalize wanaume wote! Hapo ndo wanakosea
Sent using Jamii Forums mobile app