Wanaume muda mwingine wanaboa sana

Wanaume muda mwingine wanaboa sana

Ameeen. Nafurah kukuona kiongozi .

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam mkuu, mimi pia nimefurahi.

Naona siku hizi vijana wa mjini wamebuni neno jipya la msimu linalobamba kwa ''Injia somaaaaa hiyoooooo"

Kweli haya ni maendeleo ya uvumbuzi kabisa wa viwanda vya maneno[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Km 720 halaf kaondoka halaa? Ila kiukwel hata mm mwanaume demu katoka huko mkoani tumejuana kwenye social network kiukwel hatolala ndani kwangu kirahisi hvyo

sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana

Siku anakuomba aje kukusalimia unakokaa,unamwambia hamna shida njoo

Anapanga siku anakuja,unampokea,unamkaribisha nyumbani kwako

Unampikia,anakula anashiba mnapiga stories

Inafika usiku unaenda guest kumchukulia chumba cha kulala ili apumzike ili kesho mzidi kupiga stori na kufahamiana zaidi anakataa

Anakulazimisha mlale naye chumbani kwako,unakataa unampa sababu ,kwa kuwa ni mara ya kwanza kukutana uso kwa uso nakuomba ukalale guest kesho tutaongea zaidi ,bado anakataa anakulazimisha mlale chumbani kwako

Basi unaona isiwe shida halafu ni mgeni unamuachia chumba chako alale ,naenda kwa rafiki yangu wa kike nikalale anakataa

Naonyesha msimamo anuna na kuzira na kuondoka usiku huo,namuacha anaenda,nafunga mlango naingia chumbani kwangu nalala,ila nachukua sim kumuuliza alipoenda kulala,hapokei sim,namtext ananijibu "Amesafiri kutoka mkoani km 720 halafu alale mwenyewe,wewe mwanamke hufai na huna huruma"

Wanaume bwana mungu anawaona

Sent using Jamii Forums mobile app
sio huyu aloandika huu uzi kweli

?Alichonifanyia bi dada niliyekutana naye social network ulikuwa unyama - JamiiForums

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sipati picha alivyojikoki njiani na staili zote mpya alizoandaa kuzifanyia majaribio
1546715696509.png
1546715701074.png
 
Tofautisheni kati ya wanaume na wavulana tafadhali......ila huyo ndo tafsiri halisi ya sisi mwanaume.
.
.
Siku yako inakuja waonee hao hao wazembe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tangu tufahamiane hajawahi kunipa hata senti na wala sijawahi muomba,kaniomba kaja mwenyewe ,nimetumia gharama zangu kumhudumia,naenda kumchukulia chumba kwa gharama zangu anakataa,mmmmh hata kama

Sent using Jamii Forums mobile app[/Q
Kwani hamkuwekana wazi kwenye simu kabla ...mngewekana wazi,hiyo ndio madhara ya blind appointment.
 
Mimi hawanipati Ng'oo!!
Mwanaume wa mtandaoni sitaki acha nibangaize na wa mtaani hata mwaka mzima anavumilia.
Wa mtandaoni kukutana tuu kujuana na papuchi anataka ...! Akishakuwa wa mtandaoni Mimi hanifai sina haja ya kujudje mkuu.
mmmHao wa mtaani si ndio wa mtandaoni sehemu zingine.
 
Back
Top Bottom