Delivery Man
Senior Member
- Jan 3, 2019
- 157
- 107
Kama kilometer 600 plus hivii.Hivi dar hadi Arsh ni Km ngapi??
Na wakutishika mwenyewe yuko wapi sasa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wanajichosha tuu.[emoji23][emoji23]Wala sisi wanaume hatupo humu kukutisha wewe.. Nimependa huu ujasiri wako nimekuja PM huko tuongee kwa kina kidogo
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio wote jamani, mie naomba nije kukusalimia na nipo tayari kulala guest house.
Mmefahamiana na mwanaume kwenye mitandao ya kijamii,mnaanza kuchati mnazoeana
Siku anakuomba aje kukusalimia unakokaa,unamwambia hamna shida njoo
Anapanga siku anakuja,unampokea,unamkaribisha nyumbani kwako
Unampikia,anakula anashiba mnapiga stories
Inafika usiku unaenda guest kumchukulia chumba cha kulala ili apumzike ili kesho mzidi kupiga stori na kufahamiana zaidi anakataa
Anakulazimisha mlale naye chumbani kwako,unakataa unampa sababu ,kwa kuwa ni mara ya kwanza kukutana uso kwa uso nakuomba ukalale guest kesho tutaongea zaidi ,bado anakataa anakulazimisha mlale chumbani kwako
Basi unaona isiwe shida halafu ni mgeni unamuachia chumba chako alale ,naenda kwa rafiki yangu wa kike nikalale anakataa
Naonyesha msimamo anuna na kuzira na kuondoka usiku huo,namuacha anaenda,nafunga mlango naingia chumbani kwangu nalala,ila nachukua sim kumuuliza alipoenda kulala,hapokei sim,namtext ananijibu "Amesafiri kutoka mkoani km 720 halafu alale mwenyewe,wewe mwanamke hufai na huna huruma"
Wanaume bwana mungu anawaona
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Chizi weee. Halafu ndo natoa? audacious eti wewe ulinizungusha wapi na wapi?? Kutoa ni mapenzi. Halafu kuna wengine urafiki unafaa kuliko mapenzi.Wewe hutoi ng'oo hadi akuzungushe kwanza kwenye maduka yote ya kitimoto hapa Dar![emoji1][emoji1][emoji1]
Hiyo kufuli huko ndo habari yetu imeishia hapo kwaiyo.. Tupo wewe acha wenge..Na wakutishika mwenyewe yuko wapi sasa?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Wanajichosha tuu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo kufuli huko ndo habari yetu imeishia hapo kwaiyo.. Tupo wewe acha wenge..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyani ngabu ulimzungusha kwanza kwenye maduka yote ya kitimoto cha Dar eeeeehhhh!![emoji1][emoji1][emoji1][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Chizi weee. Halafu ndo natoa? audacious eti wewe ulinizungusha wapi na wapi?? Kutoa ni mapenzi. Halafu kuna wengine urafiki unafaa kuliko mapenzi.
Umetaja kitimoto umenifanya nimkumbuke baby daddy wangu Nyani Ngabu
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha pole ndio maana mimi mwaka 2019 nimeanza kivingine kabisaaEeeh. Mtu ukishampa namba anajua hii mboga yangu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Sio kikundi mwenza ila kuna wajinga tu. Unahisi wana umoja wao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio baby daddy lazima ale vitu vizuri kabla ya game.Nyani ngabu ulimzungusha kwanza kwenye maduka yote ya kitimoto cha Dar eeeeehhhh!!
[emoji34][emoji34][emoji34] bora hata umtumie mtu asijibu kuliko kukuta kufuli... Lakini poa [emoji23]