Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,963
- 3,685
*FACT*
Wanaume ndivyo tulivyo, kutenda dhambi ni sekunde 1. Hebu soma hii:
```Wanandoa walizoea kudanganyana. Siku moja mke alilala nje aliporudi nyumbani mmewe akamuuliza ulilala wapi. Mke akasema alilala kwa rafiki yake wa kike.
Mme akawapigia simu marafiki 10 wa mke wake na wote wakasema hakulala kwao.
Siku iliyofuata mme nae akalala nje, aliporudi nyumbani mke akamuuliza ulilala wapi. Mme akasema nililala kwa rafiki yangu wa kiume.
Mke akawapigia simu marafiki 10 wa mme wake. 8 walikubali kuwa kalala kwao na wawili ndo wakaua kabisa wakasema eti hadi sasa bado yupo hapa tunakunywa nae chai.```
[emoji123]
Wanaume kokote pigeni mbinja
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Wanaume ndivyo tulivyo, kutenda dhambi ni sekunde 1. Hebu soma hii:
```Wanandoa walizoea kudanganyana. Siku moja mke alilala nje aliporudi nyumbani mmewe akamuuliza ulilala wapi. Mke akasema alilala kwa rafiki yake wa kike.
Mme akawapigia simu marafiki 10 wa mke wake na wote wakasema hakulala kwao.
Siku iliyofuata mme nae akalala nje, aliporudi nyumbani mke akamuuliza ulilala wapi. Mme akasema nililala kwa rafiki yangu wa kiume.
Mke akawapigia simu marafiki 10 wa mme wake. 8 walikubali kuwa kalala kwao na wawili ndo wakaua kabisa wakasema eti hadi sasa bado yupo hapa tunakunywa nae chai.```
[emoji123]
Wanaume kokote pigeni mbinja
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app